Nafasi unayo, anzisha basi post ya jambo jema alilofanya.
Kila siku kila post zinazomhusu Nape ni za kumponda. Ina maana hajawahi kufanya jema hata moja?.
Tuache ushabiki wa kijinga!
Kila siku kila post zinazomhusu Nape ni za kumponda. Ina maana hajawahi kufanya jema hata moja?.
Tuache ushabiki wa kijinga!
Mpaka sasa viwanja vya Magomeni Mwanza wameona waweke Dogori wanacheza watoto huku pembeni wanapigiwa vidole viwili vya people.
Kila siku kila post zinazomhusu Nape ni za kumponda. Ina maana hajawahi kufanya jema hata moja?.
Tuache ushabiki wa kijinga!