Jamani ni ushamba wangu tu nilishindwa kuweka maoni yangu kwenye post baada ya ku paste hii picha kutoka wavuti
Mmmh binafsi nimeshangazwa na taarifa hii inayosema wakazi wa manzese darajani wakijihudumia minofu ya nyama wakati Nape anatangaza nia ya kugombea
1) Mazingira haya ni kama ya mama ntilie?
Hebu nisaidieni labda watu wa jamvini mlikuwepo kula minofu hiyo?
Picha hii inaonyesha jamaa wakichagua makongoro[supu].
Siasa bwana ati nape huyo huyo analalamika kuwa watu wanajipitisha katika jimbo ambalo anataka kugombea.
Hivi hajapata ubunge yuko hivi jee akipata itakuwaje??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.