Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
hapo kwenye red pia namwongezea lusinde yeye ndo aliua kabisa "Msikubali kudanganywa ndugu zangu maswala ya mtoto kufata kazi ya baba yake, katika tanzania ni kitu cha kawaida, tunao wanajeshi na watoto zao wanajeshi uongo kweli?....kweliiiiii! tunao madereva na watoto wao madereva uongo kweli?.....kweliiii, tunao wapiga debe na watoto zao wapiga debe uongo kweli . . . kweliiii! kuna ajabu gani kwa sioi piga makofi kwake."sasa wewe ndio unataka kujishusha hadhi kuwa kulinganisha uwezo wako wa kufikiri na kujibu kuwa sawa na ule wa Nape.
Hivyo alivyosema ndipo uwezo wake unapoishia na hilo jibu ndio lililo wazi kuwa wao wanaamini kuwa hizo ndizo familia za kututawala na kinachotakiwa ni kuzaliwa tu kwenye hizo familia. Mkuu umesahau mzee Makamba alivyowahi kusema pia kuwa baba akiwa kwenye position na watoto watakuwa hivyo!?
Ujumbe ndio huo na kikubwa hapa ni jinsi gani tuta react ili kuondoa jamii ya hawa watawala wenye uwezo mdogo kufikiri huku wakijilinganisha na familia kama za akina Kennedy