Nape atoa msimamo wa CCM dhidi ya posho za wabunge

huwe unaongea na wakuu wako wa chama kabla hujaenda public wewe vuvuzela, na kama huwa unaongea nao na statement ndiyo hizo nafikiri wewe ndiyo utakuwa chaguao la mungu kuangamiza chama
 
Basi kuna mtu anatakiwa ajiuzuru lakini ctoshangaa akitokea na kudai eti alikuwa anatikisa kiberiti tu.Siasa nyepesi kwenye mambo mazito zinatukost sana

Ajiudhuru wapi wakati Rahisi amemtunuku nishani ya utendaji bora?hapo sahau kabisa.
 
"CCM VIGEUGEU"

Taratibu mpango wa kuwahamisha kwenye mjadala wa katiba unaanza kufanikiwa.Magamba bwana!

[h=6]Sasa, kama na CCM nao wanalalamikia kupandwa kwa ongezeko la posho si siku itattokea tukasikia Polisi wanalalamika kuongezeka kwa ujambazi na kwamba 'hali ya usalama ni mbaya nchini"? Sasa kama hadi Chama tawala kinalalamika wabunge wake kujiongezea posho za siku itakuwaje kwa watu wengine; yawezekana chama hakina tena "hatamu" ya uongozi?[/h]
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!

We Nape hii ID si uliikana baada ya uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga?leo imekuwa yako tena?we mbona hueleweki?ukiwa muongo uwe na kumbukumbu japo kidogo basi.
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa sababu hujaukana uccj wako hadharani hatujui uko chama gani hasa kwa hiyo hata kama hujasema mtu anaweza akahsi ulikuwa chama chako cha ccj.Pamoja na hayo tuunganishe nguvu zetu ndani ya chama chetu ili tukijenge chama kwa ajili ya ushindi wa sunami mwaka 2015 ushindi ni mhimu.Tutafakari tuchukue maamuzi magumu
@monduli-forza El
 
Ugumu wa maisha unauhusiano gani na sitting allowance? Kwanin siyo per diem?
 
serikali ni ya ccm,bunge nila ccm rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm hajatoa tamko ila tunaambiwa hajasaini,spika alisema zilianza kulipwa bunge lililopita.
je rais anajua kuwa zilishaanza kulipwa?ANASEMAJE NI SAWA?
KWA NINI NAPE AJE KWENYE VYOMBO VYA HABARI WAKATI CHAMA CHAKE NDICHO KILICHOUNDA SERIKALI?
RAIS ANALIA NA POSHO ZA TANAPA WAKATI ANA MAMLAKA.
WAZIRI MKUU ANALIA KWENYEVYOMBO VYA HABARI KUHUSU SUKARI WAKATI ANA MAMLAKA.
SPIKA WA BUNGE NA KATIBU WAKE WANATOA MISIMAMO TOFAUTI KUHUSU POSHO WAKATI WAKO OFISI MOJA.

HIVI HII NCHI TUNA VIONGOZI AU TUNAJIONGOZAWENYEWE?
 
Hili limemshinda.......sasa avamia lile

images
 
NAPE ni mzalendo anayefahamu umuhimu wa maslahi ya umma zaidi,usikate tamaa kututetea tupo pamoja na wewe.Tengeneza mahusiano mazuri na jamii pamoja na viongozi makini kama January,Zito,Mkosamali,Machali hakika tutawatoa hao kupe
 
Ni CCM's technique kujaribu ku win back people's trust - ambayo hiki chama kimepoteza kwa spidi kali. Kiundani na ukweli ni wabunge wa CCM wenye ushawishi na decisive vote.

Kama Katibu wa bunge aliwaambia waandishi wa habari kwamba hakuna nyongeza ya posho lakini spika Makinda akajitokeza na kutwambia posho zimeanza kulipwa toka vikao vilivyopita sintashangaa kusikia Mkama akimkana Nape kwamba hakuwa anakisemea Chama.

Nape hajifunzi, mwneyekiti wake alimruka kwnye NEC wakati tulimsikia akisema kwamba maneno aliyokuwa ana advocate kuhusu magamba yalikuwa na support yake.
 
Natamani sana kumuona William Malecela Le Bahari, Le Mutus, akijitokeza kwenye thread hii, maana ni mgombea ubunge mtarajiwa na ni muumini wa dhana ya Wabunge wawe matajiri kupitia kodi za wananchi.
@New York, tunasubili msimamo wako kwenye thread hii, tena kinachonifurahisha wewe na Nape damdam.
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!
nAPE HILO CHAMA LAKO ni vigumu sana kuliendesha yaan hata wakimkodi Dr.Slaa awe katibu mkuu wenu atachemka.
 
NAPE ni mzalendo anayefahamu umuhimu wa maslahi ya umma zaidi,usikate tamaa kututetea tupo pamoja na wewe.Tengeneza mahusiano mazuri na jamii pamoja na viongozi makini kama January,Zito,Mkosamali,Machali hakika tutawatoa hao kupe

Mshauri nape atoke kwenye matope ya ccm akaoge maji nje ya dimbi la matope ya chama. Asipofanya hivyo wenzie watamdidimiza ndani ya matope aishie huko. Hapa kwa busara tu Wabunge wa CCM ni muhimu kuliko nape, kwa maana nyingine ni CCM ipi inayofanya maamuzi kinyume cha wanachama wake wawakilishi wa wananchi? Poleni, endeleeni kudandia hoja za watu makini.
 
Hivi kwenye hiyo statement kuna MAHALI NIMESEMA NATAKA KUHAMA CHAMA KWASABABU WAMEPANDISHA POSHO???????!!!!! KESHO NA KESHOKUTWA MTASEMA NAPE BINGWA WA KUKANA!!!!!!!!!!!!!!!!

Hata mimi nilikuwa natafuta kwa makini sehemu inayosema hivyo na kwa bahati mbaya sijaiona. Inaonekana tuna "great thinkers" wanaosoma na kuona vitu ambavyo hata havijaandikwa. Yumkini aliyeandika hii thread atakuwa ni mtabiri.
 
serikali ni ya ccm,bunge nila ccm rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm hajatoa tamko ila tunaambiwa hajasaini,spika alisema zilianza kulipwa bunge lililopita.
je rais anajua kuwa zilishaanza kulipwa?ANASEMAJE NI SAWA?
KWA NINI NAPE AJE KWENYE VYOMBO VYA HABARI WAKATI CHAMA CHAKE NDICHO KILICHOUNDA SERIKALI?
RAIS ANALIA NA POSHO ZA TANAPA WAKATI ANA MAMLAKA.
WAZIRI MKUU ANALIA KWENYEVYOMBO VYA HABARI KUHUSU SUKARI WAKATI ANA MAMLAKA.
SPIKA WA BUNGE NA KATIBU WAKE WANATOA MISIMAMO TOFAUTI KUHUSU POSHO WAKATI WAKO OFISI MOJA.

HIVI HII NCHI TUNA VIONGOZI AU TUNAJIONGOZAWENYEWE?

Kuna mwandishi wa habari mmoja aliwahi kusema kuwa nchi iko kwenye "autopilot" inawezekana hizo ulizoorodhesha ndio dalili zake.
 
Hata mimi nilikuwa natafuta kwa makini sehemu inayosema hivyo na kwa bahati mbaya sijaiona. Inaonekana tuna "great thinkers" wanaosoma na kuona vitu ambavyo hata havijaandikwa. Yumkini aliyeandika hii thread atakuwa ni mtabiri.

Humu mtu saa nyingine huwa ni zaidi ya Great Thinkers, wanajifanya karumanzile kwa kuforecast yatakayotokea.... sometime huwa wahabahatisha lakini ukifuatlia sana unakuta ni wao kwa wao.
 
kila wanalofanya cdm ccm na cuf wanaiga..hivi cheyo na mrema wapo nchi hii?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom