Nape ndiyo kazidi kabisa kuwa janga kubwa kuliko lolote lile ambalo limekwisha wahi kuikumba TanzaniaNasikitika majanga ya kitaifa yanaongezeka: jeikei, sisiemu na nape. Je tutaweza kujnasua kweli?
Nape anaroho ngumu kuliko paka ila muda utamueleza vuvuzela nape.
- achen majungu as if hao mnaowaunga mkono hawakosei kuen kama wa2 mlioelmka kdogo co kuponda 2 kla unapopata nafasi ya kuponda46 minutes ago*·*Like
- Henry Kilewo*‎@kassim: kitu gani ambacho kimekuuma ambacho watu wameponda? yaani ccm kututia gizani ni majungu? ccm kuiba fedha zetu ni majungu? ccm kutoa ahadi hewa ni majungu? tafakari kwanza.43 minutes ago*·*Like*·**2 people
[*] http://www.facebook.com/photo.php?f...230840683604019.57902.100000342668655&type=1#Novatus Kambota*‎@Kaasim yaelekea umemezwa na umajinuni wa ushabiki wa kimkumbo ndiyo maana hata ushauri unaita kuponda ebu kajipange ndiyo uje na porojo na hoja zako dhaifu hizo39 minutes ago*·*Unlike*·**1 person
[*] http://www.facebook.com/photo.php?f...230840683604019.57902.100000342668655&type=1#Adrian Herack Marandu*‎@nape me thubutu nini?au mume weza nini?hebu fafanua.cos maneno tu ya kutukejeli haya saidi.24 minutes ago*·*Like
[*] http://www.facebook.com/photo.php?f...230840683604019.57902.100000342668655&type=1#Ludovic Rigongo*Kwa kuidumaza, kuifilisi, kuifisadi ardhi yetu tukufu aaha! Hapo tu mmethubutu, mmeweza na mnasonga mbele.3 minutes ago*·*Like
[*] http://www.facebook.com/photo.php?f...230840683604019.57902.100000342668655&type=1#Shaban Mbegu*cha msingi ni kutokuwa kuwa muoga katika utekelezaji wa kila kitu, utafanikiwa katika kuthubutu, kuweza na kusonga mbele.
Fanya kazi we dada hata hao CDM hawatakupa hela mkononi,fanya kazi!Nape kila kukicha unaongeza idadi ya maadui wako kupitia1. Uongo wako na sera mbovu2. Maisha magumu kwa watz wakati wewe unaleta utani3. Umeme na sera ovyo za serikali hasa wizara ya nishati na madini4. Wananchi hawapati huduma bora mfano afya, maji, elimuBadala ya kuadress matatizo haya mtayatatuaje wewe unaelekeza nguvu kupambana na upinzani..
Nape tunakusubiri arusha kwa hamu sana ila uje na yale majibu yetu kwenye post niliyo post jana la sivyo nakuonea huruma.
cku zote wa2 wenye kauli za reja reja kwenye mambo yanayohitaji umakini hawawez kutoa hoja mbele ya wachambuzi.alijua kule watamfagilia!ha!ha!haaaanape amekimbia JF ... sasa ameenda kuchafua hali ya hewa FB ..... watanzania wa sasa sio viazi wanauelewa mpana na huwezi waburuza kwa siasa za kipuuzi