Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,711
- 19,929
Makamanda Habari za jioni
Leo katika kata ya Erelai kulikuwa na mikutano miwili moja wa ccm na mwingine wa Chadema ambao ulikuwa na nyomi ya kutosha na ule wa ccm kama kawa kikundi cha watu wachache.
Wakati mkutano wa Chadema ukiendelea katika shule ya msingi ya Azimio ghafla msafara wa Nape ulipita.Kabla ya kupita takribani kama mita 300 kutoka eneo la mkutano msafara huo ulisita kupita mfano wa mtu kukutana na simba. Jamaa kuogopa aibu ya kugeuza msafara wao ilibidi wapite kwa aibu.Walipokuwa wakipita zomea zomea huwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na vilio vingine vililipuka kutoka eneo la mkutano mfano wa kiumbe cha ajabu kikipita!!! Zomea zomea hiyo iliwachukiza jamaa hao wa ccm na kuanza kuonyesha ishara ambazo hazikubaliki katika maadili ya Kitanzania.
CCM na CUF wanapata wakati mgumu katika kampeni zinazofikia ukingoni kwa zomea kila kona mfano wa kiumbe cha ajabu kikipita!!! Pamoja na ccm kutumia makada wenye majina makubwa wanaichi wa Arusha wamekuwa wakiwapuuza na kujaza nyomi yenye Herufi kubwa kuwasikiliza Makamanda wapambanaji kikosi maalum kanda ya kaskazini kwa kuvutiwa na hotuba zenye kusisimua na sera za uhakika zinazogusa maisha yao ya kila siku. Kampeni za Arusha zimekuwa zikiongozwa na G Lema Kamada Mpambanaji akishirikiana na timu ya makamada vijana chini ya usimamizi wa makamanda wazee wenye hekima kama vile Mzee Mpinga na wengine!!!
Kinacho onekana katika uwanja wa mapambano ni kwamba CCM na CUF wamezidiwa nguvu kwani vijana wadogo makamanda wa Chadema wamekuwa wakikubarika sana na wapiga kura kwa sera nzito wanazomwaga kufafanuwa umuhimu wa kuwapeleka madiwani wengi wa Chadema manispaa.
Nilipo wahoji wanainchi kwanini wanawazomea CCM walinijibu kwamba taabu za maisha yao zimesababishwa na CCM na hivyo kukifananisha na kiumbe cha ajabu .
Mungu ibariki Chadema Mungu ibariki Tanzania
Earthmover kamanda kikosi cha ushindi...uwanja wa mapambano Arusha
Leo katika kata ya Erelai kulikuwa na mikutano miwili moja wa ccm na mwingine wa Chadema ambao ulikuwa na nyomi ya kutosha na ule wa ccm kama kawa kikundi cha watu wachache.
Wakati mkutano wa Chadema ukiendelea katika shule ya msingi ya Azimio ghafla msafara wa Nape ulipita.Kabla ya kupita takribani kama mita 300 kutoka eneo la mkutano msafara huo ulisita kupita mfano wa mtu kukutana na simba. Jamaa kuogopa aibu ya kugeuza msafara wao ilibidi wapite kwa aibu.Walipokuwa wakipita zomea zomea huwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na vilio vingine vililipuka kutoka eneo la mkutano mfano wa kiumbe cha ajabu kikipita!!! Zomea zomea hiyo iliwachukiza jamaa hao wa ccm na kuanza kuonyesha ishara ambazo hazikubaliki katika maadili ya Kitanzania.
CCM na CUF wanapata wakati mgumu katika kampeni zinazofikia ukingoni kwa zomea kila kona mfano wa kiumbe cha ajabu kikipita!!! Pamoja na ccm kutumia makada wenye majina makubwa wanaichi wa Arusha wamekuwa wakiwapuuza na kujaza nyomi yenye Herufi kubwa kuwasikiliza Makamanda wapambanaji kikosi maalum kanda ya kaskazini kwa kuvutiwa na hotuba zenye kusisimua na sera za uhakika zinazogusa maisha yao ya kila siku. Kampeni za Arusha zimekuwa zikiongozwa na G Lema Kamada Mpambanaji akishirikiana na timu ya makamada vijana chini ya usimamizi wa makamanda wazee wenye hekima kama vile Mzee Mpinga na wengine!!!
Kinacho onekana katika uwanja wa mapambano ni kwamba CCM na CUF wamezidiwa nguvu kwani vijana wadogo makamanda wa Chadema wamekuwa wakikubarika sana na wapiga kura kwa sera nzito wanazomwaga kufafanuwa umuhimu wa kuwapeleka madiwani wengi wa Chadema manispaa.
Nilipo wahoji wanainchi kwanini wanawazomea CCM walinijibu kwamba taabu za maisha yao zimesababishwa na CCM na hivyo kukifananisha na kiumbe cha ajabu .
Mungu ibariki Chadema Mungu ibariki Tanzania
Earthmover kamanda kikosi cha ushindi...uwanja wa mapambano Arusha