Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
mtu mwenye Masters atakosa hata kazi ya ualimu katika vyuo vya binafsi na serikali, acheni utani jamani
Ni sikilizie wanafunzi watakaofundishwa na Nape wote kama hawatakuwa mizigo.
mtu mwenye Masters atakosa hata kazi ya ualimu katika vyuo vya binafsi na serikali, acheni utani jamani
Mtu ambaye hata familia yake haikutaka kumthamini..............
We MSALANI ndo unatakiwa kujifunza kusoma kabla ya kupost. Yeriko ameshalitolea ufafanuzi hilo suala kwenye mada alioianzisha. sasa kama unataka tumjadili yeriko basi anzisha topic
Tanzania SIASA ni Ajira......Nape ajiuzulu alafu akale wapi!!
Hapa huna jipya bwana Nape zaidi ya kudhihirisha tu mh rais amewaona mlikuwa mnapiga kelele tu zisizo na tija. Ingekuwa mimi ni wewe kwa stail hii ya kupuuzwa mliyoonyeshwa na rais basi kwa heshima ningejiuzulu.
intelijensia ya yerico imeishia wapi
Ni jambo la kumshukuru Jah kwakuwa tumeshinda vita hii sehemu ya kwanza,
Tumeweza kulazimisha ccm waseme kile ambacho hawakukipanga kisema,
Hii ni hatua nzuri kwaukomavu wa demokrasia nchini,
Tutaendelea kuwalazimisha wafanye kile tutakacho sio kile watakacho!
Yericko Nyerere bado hajapewa haki yake?