Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Hakuna malipo kwa DOWANS, RICHMOND, Mahakama Kuu wala shangazi yake, full STOP!!!!!!!!!!!
Baada ya kukutana na kuzungumza, kila chama kitaamuwa kinavyoona sawa au pia kuna uwezekano mkubwa vyama vitapokutana vikakubalina kuwa na msimamo mmoja kuhusu suala/masuala yanayolihusu Taifa.
| ||
|
taifa= dowans?Baada ya kukutana na kuzungumza, kila chama kitaamuwa kinavyoona sawa au pia kuna uwezekano mkubwa vyama vitapokutana vikakubalina kuwa na msimamo mmoja kuhusu suala/masuala yanayolihusu Taifa.
Una ushahidi gani?Utakutanaje na muuaji wa mtoto wako? kabla ya kukutana kwanza watuambie kwanini wamemuua wakala wetu.
Msimamo wa cdm juu ya dowans unajulikana, mpaka wanaitisha maandamano ujue wanapinga hivyo ccm iungane nao kupinga malipo ikimaanisha kujipinga yenyewe au ccm iendelee kuunga mkono malipo ili kutimiza lengo lao kuu, ambao ni msimamo wa ccm(kulipa). Wanata wakae na cdm kubagain nini? Mimi nilitarajia ccm ikutane dowans ambaye walisha kana kumfaham(jk) na c chadema. Sitarajii cdm kukubali jambo hiloBaada ya kukutana na kuzungumza, kila chama kitaamuwa kinavyoona sawa au pia kuna uwezekano mkubwa vyama vitapokutana vikakubalina kuwa na msimamo mmoja kuhusu suala/masuala yanayolihusu Taifa.
Baada ya kukutana na kuzungumza, kila chama kitaamuwa kinavyoona sawa au pia kuna uwezekano mkubwa vyama vitapokutana vikakubalina kuwa na msimamo mmoja kuhusu suala/masuala yanayolihusu Taifa.
Kwanza ushahidi wa kimazingira mara ya mwisho alionekana akiingizwa kwenye gari la CCM, pili matamshi ya kiongozi wenu Nape kuwa yatakayotokea tusiwalaumu, tatu si mara ya kwanza kuteka Igunga na Arusha, ukiongeza na sababu za kitaalamu moja kwa moja nyie ni prime suspect kwa hili hamtatoka kamwe.Una ushahidi gani?