maulaga
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 472
- 120
Chadema imeingiaje hapa? Hata hivyo salama ya CCM nipale tu itakapo tambua kwamba shetani wao mbaya kuliko hata shetani mwenyewe ni yule aliye unda mitandao kwa masirahi yake ndani ya CCM. CCM kabla ya mitandao ilikuwa na nguvu na kauli za kueleweka. Maskini bwana mdogo Nape anatumia nguvu nyingi kupambana na zimwi asilo liona lakini anaishi nalo na kulilisha chakula kizuri kwelikweli.Mbona hujasema kwamba utaratibu huo ambao unatumika pia Uingereza umepitwa na wakati hata kwa Chadema ambako mwaka 2005 aliyekuwa mwenyekiti alikuwa pia mgombea urais? Kuna uhakika gani kwamba angeshinda angejiuzulu?