Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Nape anazomewa muda huu kimandolu,hakika Arusha ni ukanda huru
Baada ya makamanda wa CHADEMA kuikaba vilivyo ccm Arusha,ccm imelazimika kutuma wabunge wote wa mkoa wa Arusha,Nchemba,Nape,Mwanri,Sendeka,na yale makapi mengine yaliyofukuzwa
Baada ya makamanda wa CHADEMA kuikaba vilivyo ccm Arusha,ccm imelazimika kutuma wabunge wote wa mkoa wa Arusha,Nchemba,Nape,Mwanri,Sendeka,na yale makapi mengine yaliyofukuzwa