TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Katibu wa itikadi na Uenezi Taifa wa Chama Cha Mapinduzi..,Nape Nnauye yupo katika viwanja vya shule ya msingi kashaulini, wilayani Mpanda akihutubia mamia ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano huo.,ambapo nape akiwa na waziri wa Maji, Prof. maghembe,na baadhi ya manaibu Waziri, Adam Malima, Agrey Mwanry, ole Nangoro na Dr Tizeba..,wote kwa pamoja wakishambulia jukwaa kwa kuwaeleza wananchi utatuzi na suluhu za kero mbalimbali zilizopo wilayani humo ikiwemo ya wafugaji na akulima, ardhi na Utaratibu wa ununuzi wa mazao ya wakala wa serikali na stakabadhi ghalani.
Wananchi wanasema tangu kuisha kampeni za 2010 hakuna mkutano uliokuwa na watu wengi kama huo. Nitawajuzeni zaidi.
Wananchi wanasema tangu kuisha kampeni za 2010 hakuna mkutano uliokuwa na watu wengi kama huo. Nitawajuzeni zaidi.