Nape anatumia mkorogo?

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,507
11,883
nimemuona kwenye tv kawa mweupe kama zeruzeru!jee ni ofisi imempendezesha au kiyoyozi cha landcruiser v8?
 
Hizi zote dalili za ushoga tu. Haiwezekani kwa hali ya kawaida mtoto wa kiume upake calorite, uvae cheni na kikuku, nape unatuaibisha mtu mzima, sio kihivyo banaa! Noma hiyo.
 
Personal attack! Kusahau Mafunzo ya Dini Zetu Ni Mbaya Sana kwa Wale Viongozi Shetani Huchukua Sehemu Yake...

Nimeamini Shetani ana deal na Wenye nafasi Nyeti ili wavune wengi Ngamia kupenya kwenye Tundu la Sindano! mngh!
 
Great thinkers discuss issues and not personalities!! Msilitie najisi janvi kama hamuwezi kukunja miguu janvini nendeni mkakalie viti vya mbao!!
 
Great thinkers discuss issues and not personalities!! Msilitie najisi janvi kama hamuwezi kukunja miguu janvini nendeni mkakalie viti vya mbao!!

Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!
 
Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!

Hahahahaha! Nimeipenda! Then si unajua nepi bado anakaa kwa babamkwe? Wht a shame!
 
dah!... kwa mwonekano wa kamjamaa ckatai, coz ukimchek vzuri Nape na Maxaburi yake usoni hayatofautiani xaaana na maxaburi ya Mwimbaj wa bend ya FM ACADEMIA... Nyosh-el-saaadat!.... tofaut ni matokeo 2 ya maxaburi yao... mmoja +ve na mwingine -ve...
 
Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!

hahahahah..Umeua bendi mkuu! Hah
 
Back
Top Bottom