kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Makamba aliwahi kusema CCM hatuwezi kamwe na wala hatuna mpango wa kumtosa katika kinyanganyiro cha mwakani Rais Kikwete kwa kuwa ni maarufu kuliko hata chama chetu, huwezi kumtosa mtu kama huyu na wanaosema hivyo ni wehu wasioitakia mema CCM, alisema Makamba.(Habari leo, Jumanne Agusti 02, 2011 - HabariLeo | Mwacheni Kikwete, ni mtaji Makamba)
Nape nimemsikia live ITV akisema tena kwa msisitizo "hakuna mtu aliye maarufu kuliko chama".
Nape unachotaka kutuambia ni kwamba Makamba alipotoka kutuambia kwamba JK ni maarufu kuliko chama?, au umaarufu wake sasa umeshuka kwamba haya yeye akileta mchezo mnamtimua?.
Hapo kwenye red nape panakuhusu kwa kuwa umesema hakuna mtu maarufu kuliko CCM na hukutoa exception. Inawezekana kweli huitakii mema CCM na unajiandaa kuanzisha CCJ mpya CCM ikifa.
Poleni CCM, sisi tuko makini na popcorn zetu tunafuatilia hili movie.
Nape nimemsikia live ITV akisema tena kwa msisitizo "hakuna mtu aliye maarufu kuliko chama".
Nape unachotaka kutuambia ni kwamba Makamba alipotoka kutuambia kwamba JK ni maarufu kuliko chama?, au umaarufu wake sasa umeshuka kwamba haya yeye akileta mchezo mnamtimua?.
Hapo kwenye red nape panakuhusu kwa kuwa umesema hakuna mtu maarufu kuliko CCM na hukutoa exception. Inawezekana kweli huitakii mema CCM na unajiandaa kuanzisha CCJ mpya CCM ikifa.
Poleni CCM, sisi tuko makini na popcorn zetu tunafuatilia hili movie.