GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
[h=6]Salaam za Nape kwa Mnyika!
Mhe. John Mnyika Hongera sana kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema! Welcome to the club ya waenezi wa Vyama!
Ninamatuamaini tutaendesha siasa za hoja katika ushindani, huku tukiweka masilahi ya nchi yetu mbele! Naamini uteuzi wako ni inshara ya Chama chako kutambua uwezo wa vijana katika kuleta mageuzi ya kweli ndani ya vyama vya siasa na taasisi mbalimbali nchini!
Nakutakia kila lakheri katika utumishi wako![/h]My take : Huu ndio uungwana na tofauti za kisiasa zisiwe ni uhasama
Mhe. John Mnyika Hongera sana kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema! Welcome to the club ya waenezi wa Vyama!
Ninamatuamaini tutaendesha siasa za hoja katika ushindani, huku tukiweka masilahi ya nchi yetu mbele! Naamini uteuzi wako ni inshara ya Chama chako kutambua uwezo wa vijana katika kuleta mageuzi ya kweli ndani ya vyama vya siasa na taasisi mbalimbali nchini!
Nakutakia kila lakheri katika utumishi wako![/h]My take : Huu ndio uungwana na tofauti za kisiasa zisiwe ni uhasama