hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Mbunge Wa mtama Nape Nnauye Leo hii katika viwanja vya sokoni kata ya Bombambili mjini Songea amemnadi mgombea ubunge Wa jimbo hilo kupitia CCM Dr Damas Ndumbaro huku akivuna wanachama 80 kutoka CHADEMA akiwemo aliyekuwa Diwani Wa kata ya Shule ya Tanga bwana Mussa pamoja na aliyekuwa mwenyekiti Wa kata hiyo kupitia CHADEMA. Nape amesema kuwa hivi karibuni Nchi itatikisika kwani yupo kada mkubwa Wa CHADEMA atahamia CCM. Pia ameeleza kuwa yeye Nape hahami CCM na atafia ndani ya chama hicho pendwa nchini.