Kisheria Nape hakuwa na mamlaka ya kuunda kikamati fake kile. Ilibidi aende kuongea na RC Makonda moja kwa moja. Kutaka sifa kulimmaliza.
Wakitoa hiyo wataambiwa watoe ya katikati wakishaitoa hiyo wataambiwa watoe na ya pembeni. Mimi ninasema I enjoyed the interview because it proved something I have always been asking myself ie the iq of the person in the name of bullshit.And let me alert you if you want to be ignored by everybody including the demons be closer or be related to that person. Hata shetani atakudharau. Asichojua ni kwamba Mungu wa mbinguni hadhihakiwi. Na ma tatizo aliyo nayo yanatibika akiamua. Yesu hawezi kutamkwa mdomoni wakato hayuko rohoni. Dogo Mruhusu roho mtakatifu afanye kazi ndani mwako and you will be healed.