MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,576
- 29,982
Kukata rufaa kwani urais ni shamba la ukoo kwamba umenyang'anywa shamba la baba yako? Hiyo ni kujidhalilisha kisiasa
Watapoteza muda
Kukata rufaa kwani urais ni shamba la ukoo kwamba umenyang'anywa shamba la baba yako? Hiyo ni kujidhalilisha kisiasa
Aiseee basi wataitwa wasikilizwe
Hapo mtaletewa Membe na hao akina mama wawili.
kwa magufuli ccm wamelamba dume
Kwani tunataka rais wa rufaa? Magufuli ndo mpago.
Sina mashaka na magufuli. Ila wakimkata, kura yangu ukawa.
Nasikia ukiwa unatumia minjingu unaweza kuzima ghafla tu.
kwa magufuli ccm wamelamba dume
Membe ameshaandaliwa na familia kuu magufuli kawekwa ili kubalansi na jinalake halivuki nec! Ni membe, makamba na balozi amina salum, magufuli kawekwa kutufumba midomo baada ya el kukatwa.
Magufuli hawezi kufanya chochote pekee yake kwasababu wamearibu combination tayari ...hapa mpango ni Ukawa mwanzo mwisho ili tuitie adabu CCM
Rufaa ya nini rais wa watanzania tayari ni Magufuli
magufuli ndio rais wetu
Wana jamvi!
Bwana Nape kupitia Star tv amejitokeza na kutangaza majina yaliyo ingia Tano bora ambao na ambayo hakuna mabadiliko yeyote na yale ya mwanzo!
Pia ameweka wazi kuwa ambaye hakulizishwa na maamuzi ana fursa ya kukata rufaa na taratibu ziko wazi!
Pia aliulizwa kama chama kina mpasuko na kusema chama kipo imara na ni kawaida kwa watu kupingana na si mara ya kwanza lakini demokrasi inawapa ushindi wengi!
Pia kuhusu kauli ya kutokuwa na fursa ya kukata rufaa amesema ule ulikuwa upotoshaji na amesema watu hawakumuelewa lakini mtu asiye kubaliana na mamuzi kuna utaratibu wa kukata rufaa!
Pia kuhusu swala la Nchimbi na wenzie kutokubaliana na maamuzi na kusema kanuni zimekiukwa amesema hipo fursa ya wao kusikilizwa na swala la kupinga maamuzi ndio demokrasia yenyewe!
Top five ni
Membe
Magufuli
January
Migiro
Amina S.
Karibuni wana jamvi!
Wana jamvi!
Bwana Nape kupitia Star tv amejitokeza na kutangaza majina yaliyo ingia Tano bora ambao na ambayo hakuna mabadiliko yeyote na yale ya mwanzo!
Pia ameweka wazi kuwa ambaye hakulizishwa na maamuzi ana fursa ya kukata rufaa na taratibu ziko wazi!
Pia aliulizwa kama chama kina mpasuko na kusema chama kipo imara na ni kawaida kwa watu kupingana na si mara ya kwanza lakini demokrasi inawapa ushindi wengi!
Pia kuhusu kauli ya kutokuwa na fursa ya kukata rufaa amesema ule ulikuwa upotoshaji na amesema watu hawakumuelewa lakini mtu asiye kubaliana na mamuzi kuna utaratibu wa kukata rufaa!
Pia kuhusu swala la Nchimbi na wenzie kutokubaliana na maamuzi na kusema kanuni zimekiukwa amesema hipo fursa ya wao kusikilizwa na swala la kupinga maamuzi ndio demokrasia yenyewe!
Top five ni
Membe
Magufuli
January
Migiro
Amina S.
Karibuni wana jamvi!
Siko impressed na Membe,kwa kuwa sasa tunarudi kwenye utawala wa kifalme.Furthermore hayuko intelligent kihivyo.Sikuona maamuzi yake mengi kuwa yalikuwa ya busara sana.Huyu Amina ni nani hasa, mwenye CV yake naomba mtupatie.Siko confortable na Makamba kuwa Rais.He is okay for foreign minister.Bado nasisitiza Magufuli anafaa kuwa PM.Asha anafaa kiasi kuwa Rais tatizo linaweza kuu jee atakuwa strong hasa ukizingatia kwamba ili kutoa nchi yetu hapa ilipo sasa, tunahitaji mtu anayeweza kufanya maamuzi magumu.