Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,779
- 18,747
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amesema Serikali inapaswa kujifunza kutokana na suala la korosho lilivyoenda.
Amesema pia Serikali inatoa takwimu kuhusu malipo ambayo haziendani na ukweli na kushauri iache kuzitoa.
Ameelezea jimboni kwake hali ya malipo ni mbaya japo Serikali inasema inawalipa vizuri.
Pia amesema zoezi la uhakiki limeanza kutumika kama kichaka cha kutumika kuchelewesha malipo na baadae inapotelea hewani.
Amesema pia Serikali inatoa takwimu kuhusu malipo ambayo haziendani na ukweli na kushauri iache kuzitoa.
Ameelezea jimboni kwake hali ya malipo ni mbaya japo Serikali inasema inawalipa vizuri.
Pia amesema zoezi la uhakiki limeanza kutumika kama kichaka cha kutumika kuchelewesha malipo na baadae inapotelea hewani.