Akiwa anahojiwa asubuhi na sauti ya Ujerumani Nape alizungumzia mambo mengi kuhusu utendaji wa serikali ya ccm. Kazungumzia kuhusu Bomu lililolipuka kanisani Olasiti na lile la kwenye mkutano wa CHADEMA Soweto pamoja na watu kupigwa risasi kwa kutumia boda boda.
Na akasema vyombo vya usalama havijachukua hatua stahili kwa ajili ya matukio hayo. Pia akasema Tume iliyoundwa ikiongozwa na Paul Chagonja haijawahi kuleta taarifa yoyote ya maana isipokuwa ni kama kupoteza muda na fedha za umma.
Kuhusu mawaziri mizigo Nape amesema wao kama chama wamewahoji mawaziri hao na sasa wanachosubiri ni utekelezaji kwa upande wa serikali.
Source- Sauti ya Ujeruman.
Na akasema vyombo vya usalama havijachukua hatua stahili kwa ajili ya matukio hayo. Pia akasema Tume iliyoundwa ikiongozwa na Paul Chagonja haijawahi kuleta taarifa yoyote ya maana isipokuwa ni kama kupoteza muda na fedha za umma.
Kuhusu mawaziri mizigo Nape amesema wao kama chama wamewahoji mawaziri hao na sasa wanachosubiri ni utekelezaji kwa upande wa serikali.
Source- Sauti ya Ujeruman.