kancher
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 463
- 461
Husika na kichwa na habari hapo juu.
Mimi ni kijana 26 yrs, Mwenye afya nzuri tangu nikiwa mdogo sijawahi kusumbuliwa na matatizo makubwa ya kiafya.
Lakini tangu miaka miwili nyuma nimeanza kuona napatwa na shida katika mfumo wa upumuaji, yani naweza kukaa sekunde 4 hadi 5, bila kuvuta wala kutoa pumzi ghafla nastuka na kuanza kupumua kwa haraka huku mapigo ya moyo yakienda kasi.
Na wakati mwingine kifua kubana.
Tatizo la pili kipindi cha baridi nikioga maji ya baridi ata ya moto korodani zinasinya na kikaza na kutoa maumivu maumivu yanayopanda hadi kwenye tumbo la chini.
Je hizi zinakuwa ni dalili za matatizo gani kiafya?
Mimi ni kijana 26 yrs, Mwenye afya nzuri tangu nikiwa mdogo sijawahi kusumbuliwa na matatizo makubwa ya kiafya.
Lakini tangu miaka miwili nyuma nimeanza kuona napatwa na shida katika mfumo wa upumuaji, yani naweza kukaa sekunde 4 hadi 5, bila kuvuta wala kutoa pumzi ghafla nastuka na kuanza kupumua kwa haraka huku mapigo ya moyo yakienda kasi.
Na wakati mwingine kifua kubana.
Tatizo la pili kipindi cha baridi nikioga maji ya baridi ata ya moto korodani zinasinya na kikaza na kutoa maumivu maumivu yanayopanda hadi kwenye tumbo la chini.
Je hizi zinakuwa ni dalili za matatizo gani kiafya?