darasani
Senior Member
- Dec 13, 2016
- 158
- 46
Wadau habari za majukumu,
Naomba ushauri juu ya hili; ilikua mwezi wa 2 mwaka huu, mke wangu aliomba kwenda kusalimia nyumbani kwao, huko alikaa wiki 2 na siku 3, baada ya kurudi kwangu nikasex nae siku kama 3 hivi badae akanambia anajisikia vibaya tukaenda kupima ikawa ameonekana ana ujauzito.
Lakini katika kipindi chote cha ujauzito alikua akiwasiliana na mwanaume mwingine wa huko kwao alikoenda akamwambia kuwa amempa mimba kipindi yupo huko kwao, Mimi nimegundua juzi tu kipindi mke wangu kajifungua, ndo nikaona SMS anajulishwa jamaa kuwa tayari kajifungua.
Napata wasiwasi juu ya mtoto hii na SMS kibao nimeona wanachati juu ya huyu mtoto.
Je nifanyeje ili kuujua ukweli na kipi kifate?
Naomba ushauri juu ya hili; ilikua mwezi wa 2 mwaka huu, mke wangu aliomba kwenda kusalimia nyumbani kwao, huko alikaa wiki 2 na siku 3, baada ya kurudi kwangu nikasex nae siku kama 3 hivi badae akanambia anajisikia vibaya tukaenda kupima ikawa ameonekana ana ujauzito.
Lakini katika kipindi chote cha ujauzito alikua akiwasiliana na mwanaume mwingine wa huko kwao alikoenda akamwambia kuwa amempa mimba kipindi yupo huko kwao, Mimi nimegundua juzi tu kipindi mke wangu kajifungua, ndo nikaona SMS anajulishwa jamaa kuwa tayari kajifungua.
Napata wasiwasi juu ya mtoto hii na SMS kibao nimeona wanachati juu ya huyu mtoto.
Je nifanyeje ili kuujua ukweli na kipi kifate?