Napata wapi wazungu wanawake walio tayari kuolewa na Waafrika tuishi maisha ya ndoa ya Kikristo?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,085
42,893
Hivi kwa mfano nimemua ni mchumbie mchumba wa kizungu mwenye maisha ya kawaida nawezaje kumpata?

Namzungumzia mwenye utayari wa kuishi hapahapa Tanzania na kuendena angalau kidogo na taratibu za jamii ya hapa. Nataka nijue ni maeneo gani wanajilengesha wazungu wengi wa namna hio.
 
Unataka mke? Au unataka mzungu..?
Ili uende ulaya/marekani au ujikimboe kiuchumi? Au unahisi ndio watamu sana au ili upate watoto shombeshombe???
Kila mmoja ana hulka zake..period
Cha msingi ni maisha namna ulivopanga wewe mimi nataka mwanamke ila awe wa kizungu na tena ni vizuri asitoke kwenye familia yenye uwezo
 
Wazungu ukimtongoza umeharibu.wao ndo huwa wanakutokea wakikupenda.angalia wasikuabishe tu
Duh kwa hio mkuu kwa mfano kwa hapa Dar ni wapi ambapo kuna probability kubwa ya kuonekana na mzungu hadi akakutongoza ili muoane
 
Dada nataka mzungu mwenye asili ya ulaya kabisa
Awe na maisha simple sio starehe nyingi
Tufunge harusi na tuishi hukuhuku kwetu Tanzania
Tafadhal nisaidie ni wapi naweza kuanzia
Upo mkoa gani, kama arusha kafanye kwenye kampuni za tour....
Kama kwingineko fuga rasta uwe unaenda enda beach utawakuta, ukimpata usinisahau uniunganishe hata na mjomba wake
 
Upo mkoa gani, kama arusha kafanye kwenye kampuni za tour....
Kama kwingineko fuga rasta uwe unaenda enda beach utawakuta, ukimpata usinisahau uniunganishe hata na mjomba wake
MUNGU awe name kwenye safari hii ya kumpata wa ubani wangu... Haja ya moyo wangu itakapotimia sitasita kuleta mrejesho..napenda pia kukuomba unapoendelea kuangazaangaza macho yako huko utapoona kabisa chance ipo ya ku nyaka toto la kizungu tuwasiliane maana mimi nipo mbali kidogo ila naweza kufika popote pale kwa Dar es salaam tukaona inakuaje
 
Hata asiye Mzee atapata ila hatoenjoy chochote mwisho wa siku ataanza kumsaliti kwa wabongo wenzake kutokana na uzuri wa wabongo kimapenzi.
Mbona Umeanza kuingiza mawazo ya hisia zako na tena umeyajumlisha kwa wote.. Kiukweli mimi wanawake wa kibongo sioni uzur wao wa kimapenzi
Halafu pia sina nia ya kumsaliti mwenza wangu yoyote..
 
Dogo jisongeshe pande za kwamadiba hapo downtown ila usiende kiblazamen watakusqz mpaka hamu ikuishe!
 
Mkuu kama upo serious kuwa unachotaka ni mzungu tu...Nenda Arusha nakumbuka kuna hotel ilikuwa inaitwa Via Via pale wazungu hadi walikuwa wanajiuza kabisa sembuse kuolewa unachukua faster...Kuna club ingine ilikuwa inaitwa Masai Camp palikuwa panapigwa disco walikuwa wazungu wengi mno na wengi wao walikuwa na ule mtazamo kuwa wanaume wa kiafrica wamehaliwa mizigo so kila mzungu alikuwa anataka kuprove so walikuwa easy go sana....
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom