hapama mkuu kama ntaenda dukani basi najeti yangu haitazidi 80
Kwanini usinunue og ya Xiaomi ama Honor za Huawei? Bei inazidi kidogo hapo na unapata kitu cha uhakika.najua kama ni clone mkuu ndio maana nkalia kwa bei hizo
Ndo zimetoka huku huzipati, na mpaka zikifika huku bei watakupiga sana. Naziona Aliexpress dola 18 kama 40,000 hivi,vipi bongo zinapatikana mkuu kwa bei hiyo?
nop mkuu nimeanza kuagiza vitu nje tangu 2015 nina kauzefu kidogo, nachogopa mimi kwamba hii korona ntapata kweli mzigo wangu kwa wakati?Ndo zimetoka huku huzipati, na mpaka zikifika huku bei watakupiga sana. Naziona Aliexpress dola 18 kama 40,000 hivi,
Sio mbaya ikiwa ndio kitu chako cha kwanza kuagizishia.
Mizigo imeanza kuja Mkuu, watu wanapata, unless kutokee janga jengine.nop mkuu nimeanza kuagiza vitu nje tangu 2015 nina kauzefu kidogo, nachogopa mimi kwamba hii korona ntapata kweli mzigo wangu kwa wakati?