Napata wapi internet yenye SPIDI kubwa

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,313
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha.
 
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha.
Kama huna Hela ya mawazo nenda raha, Wana hadi link ya 1GBps.
 
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha
 
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha
 
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha
 
Hahahahaha huu utani sasa, unajua maana ya 1GBps?
-simbanet wanatoa bandwidth kuanzia 1mbps mpaka 10Gbps (1.25GBps)
Source

-raha wanayo 1GBps link nimeona vipeperushi vyao,

-Ttcl wao wanatoa Hadi Mamia ya Gbps

Kwa ulimwengu wa Sasa mkuu 1GBps Ni kitu kidogo sana, wengi wetu tumezoea mitandao ya simu ndio maana tunaona vitu vya ajabu Ila Kuna nchi 1GBps Ni dola chini ya 40.

Btw mkonga wetu (seacom) umekuwa designed kwa 12Tbps na kwa Sasa Kama 500gbps inatumika.

 
shukran kwa maelezo chief
-simbanet wanatoa bandwidth kuanzia 1mbps mpaka 10Gbps (1.25GBps)
Source

-raha wanayo 1GBps link nimeona vipeperushi vyao,

-Ttcl wao wanatoa Hadi Mamia ya Gbps

Kwa ulimwengu wa Sasa mkuu 1GBps Ni kitu kidogo sana, wengi wetu tumezoea mitandao ya simu ndio maana tunaona vitu vya ajabu Ila Kuna nchi 1GBps Ni dola chini ya 40.

Btw mkonga wetu (seacom) umekuwa designed kwa 12Tbps na kwa Sasa Kama 500gbps inatumika.

 
ni kweli ndugu, na kwao 10Gbps ni jambo la kawaida kabisa
-simbanet wanatoa bandwidth kuanzia 1mbps mpaka 10Gbps (1.25GBps)
Source

-raha wanayo 1GBps link nimeona vipeperushi vyao,

-Ttcl wao wanatoa Hadi Mamia ya Gbps

Kwa ulimwengu wa Sasa mkuu 1GBps Ni kitu kidogo sana, wengi wetu tumezoea mitandao ya simu ndio maana tunaona vitu vya ajabu Ila Kuna nchi 1GBps Ni dola chini ya 40.

Btw mkonga wetu (seacom) umekuwa designed kwa 12Tbps na kwa Sasa Kama 500gbps inatumika.

 
Habari node
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha.
 
Njoo halotel hutajutia
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?

Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.

Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.

Nawasilisha.
 
Mkuu in a nutshell 1GBps ni nini au maana yake ni nini? Je ni download speed ya 1GB per sec au ina maana nyingine?
-simbanet wanatoa bandwidth kuanzia 1mbps mpaka 10Gbps (1.25GBps)
Source

-raha wanayo 1GBps link nimeona vipeperushi vyao,

-Ttcl wao wanatoa Hadi Mamia ya Gbps

Kwa ulimwengu wa Sasa mkuu 1GBps Ni kitu kidogo sana, wengi wetu tumezoea mitandao ya simu ndio maana tunaona vitu vya ajabu Ila Kuna nchi 1GBps Ni dola chini ya 40.

Btw mkonga wetu (seacom) umekuwa designed kwa 12Tbps na kwa Sasa Kama 500gbps inatumika.

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom