BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
Hello, wataalamu wa tech kwa ujumla, niambieni ni nani au wapi ntapata provider mzuri mwenye internet yenye speed kali?
Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.
Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.
Nawasilisha.
Au mtandao gani wa simu au kampun gani naweza kupata hizi router au modem ambazo zina speed kubwa, mfano kuna mahali nilipita nikakuta kuna internet ilikua na 75 mbps, nilishangaa sana, sema nilikua na mishe sikuweza kufuatilia.
Nimelazimika kutaka kujua hili mana naona hizi kampun pendwa za simu ni michosho tu na wengine wanatuhumiwa kua ni wezi wa vifurushi kwaio its just chaos tu, its funny kuona unasubiria dakika 1 au mbili file la MB 6 au 12 liwe downloaded, siwezi aisee.
Nawasilisha.