Dalali wa kazi gani,nunua gari kutoka kwa muuzaji mwenyewe kabisa,upate bei nzuri.Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka
Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma
Kupata gari tumia marafiki na jamaa zako usitumie madalali watakutesa. Utahangaika kukagua magari na hela itaishia kukagua magariShida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka
Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma
Unawazungumziaje wale madalali wa list ya uaminifu waliopo tele.Dalali na uaminifu ni vitu viwili tofauti.
Team uaminifuUnawazungumziaje wale madalali wa list ya uaminifu waliopo tele.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
NAKAZIA KWA MAANDISHI MAKUBWA KABISADalali na uaminifu ni vitu viwili tofauti.
NAGONGEREA MSUMARI WA MOTO KABISA, NAMAANISHA NAKAZIAMadalali na makahaba wametenganishwa na Uzi mwembamba Sana.
Njoo Call_watsapp 0718436694Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka
Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma