Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Sipendi babu, huyu hahitaji shuga mami cz hela anazo za kutosha. Anahitaji binti wa kuzila hizo pesa na marupurupu. Ana bahati sina mdogo wa kike, ningemtuma akazilete hizo pesa tumalizie kuweka bati kwenye nyumba ya kijijini kwetu.
Wewe si una binti mpe Mkata Kiu aoe ukiwa kama mama mkwe utaneemeka na huo mshahara wa 1m.