Napata wakati mgumu kukutana na Mke wangu mtarajiwa

Sipendi babu, huyu hahitaji shuga mami cz hela anazo za kutosha. Anahitaji binti wa kuzila hizo pesa na marupurupu. Ana bahati sina mdogo wa kike, ningemtuma akazilete hizo pesa tumalizie kuweka bati kwenye nyumba ya kijijini kwetu.

Wewe si una binti mpe Mkata Kiu aoe ukiwa kama mama mkwe utaneemeka na huo mshahara wa 1m.
 
Hahahaha...... yoooote haya umeyaanzisha wewe hapo....sijui unafanya kazi kwa wahindi mshahara laki unusu? Unamwonea wivu dogo wa watu anakula 1m per month na garrrrr yake na digrrrr yake....hahaha...kaaaz kwel kwel.....Sie tusio na kitu mabinti lukuki wa kuoa tunawaona. LOL


babu bora huko kwa wahindi napata muda wa kuchakachua ...
 
asipoangalia tutamdai hela ya hayo matangazo aliyotuwekea!

amenifanya nicheke sana huyu dogo. Gross ya m1 inamchanganya. Humu kama kila mwana jf angepata mawazo changanyikiwa kama yake na kutaja kipato chake mbona ingekuwa shida jamani. Duh!
 
Anza kuwatafuta vibinti uliosoma nao, kuanzia wa primary hadi chuo. Na hakika kati ya hao wote, haukosi mmoja. Licha la ilo, husiwe na haraka sana sababu miaka mizuri ya kuoa kwa mwanamme ni miaka 30. Una miaka 7 mbele yako ya kutafuta mke mwema, ukitaka kuoa eti kwa sababu unaitaji upendo/mapenzi au mtu wa kuishi nae, utatapeliwa. Na vile vile unaitaji mke wa aina gani, kuanzia elim, uzuri, na mazingira aliyotokea, maana ktk daladala kuna wanawake wa kila dizain, kuanzia wauza sura hadi akina mama huruma. Kuwa makini
 
Mh nasisi tunatafuta kama wewe ila approach uliyotumia... Sijui ! Labda umpate mwenye mashauzi kama yako.
 
Hellow great thinkers,

Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.

Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.

Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.

Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.

Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.

Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.

Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.

Kama wewe ni wa nyumbani ofisini na huna 'social contacts' na binti yeyote asiye ndugu wa karibu basi jaribu kuangalia beki tatu hapo nyumbani kama analipa ujibinafsishie.
 
Hellow great thinkers,

Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.

Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.

Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.

Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.

Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.

Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.

Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
Weka vigezo ukutanishwe au ingie hapo juu kwenye live connection my be utapata waubani wako humo.
 
Bado kijana wewe miaka 23, fanya kazi na jichanganye ukifika miaka 26 hivi anza kufikiria kuoa!
 
hata church inaonekana huend e noma yan kina dada walvyo weng wanatngaza kutafuta wachumba da kama vip tafuta weekend katege pale mwenge wanaposukana huwez kosa
 
Bandika Tangazo kwenye gari yako,alafu uandike vyote ulivyoandika kwenye thread yako uone watakavyo miminika.
 
Hellow great thinkers,

Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.

Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.

Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.

Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.

Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.

Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.

Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.

Jibu utalipata leo. Kwa walengwa wameeshaelewa maana ni watu wazima hawa, siyo lazima utafune maneno yote.
 
Kwanza kabisa hujui hata mapenzi n kitu gani ,kwani huo mshahara na nyumba unayojenga havina uhusiano na mapenzi kabisa ,kwa hiyo umeanza vibaya.
 
tafuta kwa njia ya mtandao,
lunch time kazini,jifunze kwenda sehemu social...zenye watu wengi
kwani mpk jumapili uko busy?
 
[daughter;1942176]Excuse my curiosity,but
Are you a Luo or Haya by any chance?

Ukinijibu nitarudi na ushauri]



hahahaa umenichekesha kweli:happy:
 
Back
Top Bottom