Napata uchungu mdomoni, maumivu ya viungo na uchovu uliopindukiwa

mwanakijiji lugusi

Senior Member
Apr 13, 2016
128
96
Nateseka sana wadau nina miaka kumi hili tatizo nililonalo la mdomo kuwa mchungu huku viungo vya mwili vikiuma na uchovu uliopindukia, na nimejaribu kwenda hospital kucheki vipimo vyote lakini tatizo halionekani. Nimetumia madawa ya kila aina ya antibiotics lakini hali inazidi kuwa mbaya huku tumbo langu likinguruma sana. Mbaya zaidi nikilala usingizi hata mchana naamka mwili umechoka ukiambatana na maumivu makali na mdomo ladha ni chungu utadhani nimekunywa nyongo. Jamani yaweza kuwa tatizo gan? Mwenye uelewa, kwasababu nateseka sana
 
Mkuu pole sana inaonyesha mwili wako una asidi nyingi Asidi ikizidi ndio chanzo kikubw acha maradhi. Unatakiwa utibiwe kuondosha asidi iliyozidi mwilini mwako.
DALILI YA MWILI WAKO UNAYO  ASIDI NYINGI.jpg
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom