Aqua Man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2017
- 336
- 1,142
Habari za mida wakuu,
Nimekuja kwenue jukwaa hili kuelezea hali ya ajabu ilionikuta leo asubuhi. Nimeamka na kizunguzungu kikali sana na mwili kukosa balance hatimaye nikadondoka.
Baada ya dakika kama 2 ama 3 nilifanikiwa kuamka na kwenda kuoga, ila nilivyorudi tena kitandani nilindondoka tena kwa kizunguzungu kikali. Nikauliza watu nikapewa ushaur niende kupima wingi wa damu pamoja na presha lakini kote hamna kitu.
Sasa muda huu nimerudi kutoka kwenye mihangaiko nikajilaza kwakuangalia juu then nikaamka ikanitokea tena hali hyo hyo ya kizunguzungu kikali sana nikaanguka tena kwa mara nyingine. Nilivyoamka nikajaribu kulala kwa upande wa kushoto na kujaribu kuamka cha kushangaza sijapata kizunguzungu wala nini. Kisha nikajaribu tena kulala kwa kuangalia juu nikajaribu kusimama nikapata kizunguzungu tena.
Naomba kuuliza kwamba hili ni tatizo gani na nifanye nini ili niwe sawa?
Nimekuja kwenue jukwaa hili kuelezea hali ya ajabu ilionikuta leo asubuhi. Nimeamka na kizunguzungu kikali sana na mwili kukosa balance hatimaye nikadondoka.
Baada ya dakika kama 2 ama 3 nilifanikiwa kuamka na kwenda kuoga, ila nilivyorudi tena kitandani nilindondoka tena kwa kizunguzungu kikali. Nikauliza watu nikapewa ushaur niende kupima wingi wa damu pamoja na presha lakini kote hamna kitu.
Sasa muda huu nimerudi kutoka kwenye mihangaiko nikajilaza kwakuangalia juu then nikaamka ikanitokea tena hali hyo hyo ya kizunguzungu kikali sana nikaanguka tena kwa mara nyingine. Nilivyoamka nikajaribu kulala kwa upande wa kushoto na kujaribu kuamka cha kushangaza sijapata kizunguzungu wala nini. Kisha nikajaribu tena kulala kwa kuangalia juu nikajaribu kusimama nikapata kizunguzungu tena.
Naomba kuuliza kwamba hili ni tatizo gani na nifanye nini ili niwe sawa?