eliakim xavery
Member
- Apr 24, 2015
- 96
- 71
Jamani wanaojua zaidi ni dawa au chakula gani ni bora kwa afya ya akili ambacho chaweza kuongeza uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa kufikiri?
maana binafsi napata shida kwenye Kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
maana binafsi napata shida kwenye Kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app