Jesusfreak08
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 823
- 1,797
Iyo kawaida sana kuna jamaa yangu mmoja naye alikuwa kawaida tu
Sema alipiga kazi usiku na mchana akanunua gari lake la kutembelea na maendeleo kidogo wakaanza kumuita freemason
Huwa anawaangalia alafu anacheka tu
Hao achana nao piga kazi maskini hizo ndio tabia zao
#Nitauchukia umaskini paka nakufa
Sema alipiga kazi usiku na mchana akanunua gari lake la kutembelea na maendeleo kidogo wakaanza kumuita freemason
Huwa anawaangalia alafu anacheka tu
Hao achana nao piga kazi maskini hizo ndio tabia zao
#Nitauchukia umaskini paka nakufa