kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,002
- 11,929
Ni bora vyombo vya kabatini kuliko vyombo vya habari, sehemu pekee unapoweza kupata taarifa kama hizi ni JF pekeeNdugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.