#COVID19 Napata shida kuelewa kwanini Rais Samia kamuajiri Tonny Blair kuhusu COVID-19 na kurejesha jina zuri Tanzania

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,406
7,188
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.
 
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo...
Wacha kumfananisha Rais SSH anayetawala professionally kwa consultation na yule mshamba alikuwa analipuka tu vile alivyoamka.

Kumbuka alivyoharibu biashara ya korosho kwa kujifanya mjuaji.
 
Bibi Hangaya piga kazi.

Magu akili zake alizijua mwenyewe.

Hata hawa kina Bibi Hangaya akili zao zilikuwa safi kabla ya kukutana na kufanya kazi na Magu ila sasa zimeanza kurudi kwa mbali.

Magofool alikuwa anawatukana mabeberu waliomuwekea betri ili asukume siku, huo ni ujinga wa hali ya juu.
 
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.
Uwezo wa vyombo hivyo upoo? Au masomo ya kanumba ndiyo yametawala. Gen Ulimwengu, kaiza, Makwaia na wengine wachache mno wangeingia humo. Waliobaki wote ni kusubilia mlangoni na kuulizwa kasema nini eti.
 
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.
Naona hili mama hajalitolea ufafanuzi, hajakanusha wala kukubali kuwa katoa ulaji kwa beberu hili lililokubuhu!!
Beberu limenusa kuna mabilioni ya dola ya mkopo eti ya kupambana na corona yamekaa kihasara hasara! Kwanza ujio wa beberu hili ulikuwa kama siri vile, halafu baada ya mazungumzo hakuna taarifa rasmi iliyotoka kubainisha yaliyojiri kwenye kikao chao!! Sema tu kwa kuwa enzi hizi za utandawazi ni vigumu kuficha siri!! Hii naona ilikuwa siri!! Yawezekana kuna kipengere kwenye mkataba wao kuwa mkataba ni siri!! Beberu limepiga pesa na walipaji ni walipa kodi wa Tz na vizazi vyao!! Yote maisha!! Tutayatumikia mabeberu haya ili kurejesha mkopo wa corona hewa, maana hamna namna nyingine! ILA: MUNGU ANAONA!!
 
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.
Kwani Mulamula anafanya shughuli gani?
 
Ndugu wanajamvi, nimefuatilia suala la serikali kukodi taasis ya Tony Blair, ni kweli serikali italipia jumal ya Billion 100 kama gharam ya kugharamia huduma ya kupata ushauri jinsi ya kupambana na UVICO pamoja na kuhakikisha anatusemea vizuri ngazi za kimatatifa.Je wewe unaona hizo gharama ni haki? value for money. Nashangaa vyombo vya habari nchini viko kimya havifanya utafit.
Hakuna namna, Hangaya na Kagame wote ni mfano wa Madodoki tu... Tony Blair ni Mzee wa fursa, waliolala ndipo anapoamikia yeye na Taasisi yake... yaani nchi kama nchi tunahitaji consultant kutusemea mambo ya covid, ni kama vile tumepigwa super glue, midomo yote imepigwa ganzi..duniani humu kuna mamb sana... hakukosea aliyesema Dunia ni tambala bovu.. kila kitu ndani yake.
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.
Ungeonekana mwenye akili japo kidogo kama angalao ungejishughulisha na kujiuliza kwa nini Tanzania tulifikia kuwa na kiongozi ambaye aliiangamizi nchi kiuchumi, kijamii na kimahisiano katika ngazi ya kimataifa.

Nani anastahili kulaumiwa na kulaani kati ya mchafuzi na mfagizi?

Unakuwa ni mwehu kuanza kumsema mfagizi juu ya mfagio anaotumia badala ya kumlaani mlevi aliyetapika ovyo kiwango cha kuichafua nyumba kila mahali kutokana na ulevi wake.
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.
Kwa nini aliyewajulisha asiwaambie analipwa shilingi ngapi badala ya Kumuuliza Mama ambaye hajasema kwamba amaemuajiri?
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.

Huyu mzee ana kampuni yake ya biashara na ndiyo imepata tender.

Baada ya kuajiriwa tu uingereza imetoa Tanzania kweli zile list za kutokutembelewa ! Si bure
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.
Yaani Rais ahangaike kukujulisha mtu kama wewe kuhusu workplan zake? Kwendraa na legacy yako! Fia mbele huko. SSH tunakuamini, nakupenda, chapa kazi. Tunatambua una machineries zinazofanya kazi kwa mustakabali wa nchi siyo kwa ajili ya sukuma gang na legacy hewa.
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.
Mama kapata ushauri mbovu na yeye kauchuhukua bila kuuhoji; sidhani kama kweli hili lilikuwa ni wazo lake bali inaonekana kuwa kashauriwa. Wakati mwinbgine kupokea ushauri mbovu kama huu ni matokeo ya kutokuwa na self confidence kwenye maamuzi.
 
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.

Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.

Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu yake yote.

Hawakuridhika hadi kumnyonga kiongozi wake Sadam Hussein kwa kamba.

Baada ya kushindwa Uwaziri Mkuu huyu Tonny ana kampuni ya kupiga pesa kubwakubwa kiujanjajanja tu kwa kutoa hutuba na kulipwa.

Rwanda akapewa kazi na Rais Kagame kama mshauri wa kiuchumi. Yote uzandiki mtupu.

Akiwepo Magufuli asingethubutu kuleta uhuni wake eti kuitangaza vizuri Tanzania wakati in the first place wao wamejaribu kuitangaza vibaya.

Kwanza mama hajatujulisha rasmi jinsi huyu jamaa kapewa hiyo kazi na bei gani analipwa.

Wahuni hawa ni wengi, inafaa huu utawala wawe macho kuwaamini matapeli wa kimataifa vinginevyo tutapigwa hela nyingi na pia vigogo wapigaji wataleta wapigaji wa aina ya Tonny Blair kila siku kwa kupata cha juu.


Shida wahuni hao ndo wameshikiria dunia na ndo wana hela.....wanajua wanvyozipata. Acha tu duniani ni pagumu sana...mambo si straught forward kama unavyofikiria. Rais kama Rais anakuwa na wakati mgumu sana kwa sababu kuna wakubwa zaidi hapa duniani. Muacheni mama anadeal na majitu mazito ambayo hayajali usawa unaoutafuta. Kila jambo kubwa kuna kivuli chao...
 
Back
Top Bottom