Napata sana kiu ya maji wakati wa usiku

Updates:nimepima sukari ipo vzuri tu wala haina tatizo.
Unaweza kutuambia ni ngapi? Au cheki kwenye youtube utapata taarifa nyingi kuhusu sukari.

Siyo kwamba nakutisha lakini inawezekana vipimo vikawa kwenye borderline kwa hivyo ukichukuwa tahadhari ya kutosha na mapema basi haitasogea mbele.
 
Sukari inarithiwa kijana, ila mfumo wa maisha ndiyo unaongeza probability ya mtu kupata sukari.

Kuna diabetes type 1 ambayo ndiyo kwa asilimia kubwa inatokana na urithi na unakuta hata watoto wadogo wanayo.

Kuna type 2 ndiyo inayotokana na mfumo wa maisha.
Nimekubali umefuata maelekezo.
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Ungekuwa ukistuka unakunywa bia ningekushauri uangalie isije kuharibu mwili wako lakini maji mbona safi tu.Ila kwa kujiridhisha nenda kacheki afya.Ila nadhani pia hali ya hewa ni ya jua kali sana na joto pia yaweza kuchangia japo unasema unakunywa sana ila hujakizi mahitaji maybe ndo mana unastuka nakuhisi kiu sijambo baya kunywa tu.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Kabla hujalala kunywa lita2 za maji
 
Unaweza kutuambia ni ngapi? Au cheki kwenye youtube utapata taarifa nyingi kuhusu sukari.

Siyo kwamba nakutisha lakini inawezekana vipimo vikawa kwenye borderline kwa hivyo ukichukuwa tahadhari ya kutosha na mapema basi haitasogea mbele.
Ilikuwa around 4 points kadhaa though hili tatizo la kiu ndio linazid kila kukicha
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Kunywa maji mengi
 
Watu wa dar wanalala na chupa za maji vyumbani.kila wakiamka kukojoa wanakunywa.

Hayo ni mazoea. Kuna watu hawaamki kukojoa usiku hadi asubuhi.mtu wa hivyo jua hakunywa maji usiku.

Ninachojua ukinywa maji lazima yatoke. Kunywa kabla ya kulala.
 
Back
Top Bottom