bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,355
- 6,791
Unaweza kutuambia ni ngapi? Au cheki kwenye youtube utapata taarifa nyingi kuhusu sukari.Updates:nimepima sukari ipo vzuri tu wala haina tatizo.
Siyo kwamba nakutisha lakini inawezekana vipimo vikawa kwenye borderline kwa hivyo ukichukuwa tahadhari ya kutosha na mapema basi haitasogea mbele.