longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
Kama unaishi Dsm na hili jotoo ni kawaida tu wala usiogope japo ni muhimu kwenda hospitali.
Mimi binafsi kila saa tisa naamka napata maji vikombe viwili.... kisha nasali alafu narudi kulala tena.
Hii hunifanya asubuhi nikojoe mkojo usiokuwa na rangi mbaya wala harufu mbaya.
Mimi binafsi kila saa tisa naamka napata maji vikombe viwili.... kisha nasali alafu narudi kulala tena.
Hii hunifanya asubuhi nikojoe mkojo usiokuwa na rangi mbaya wala harufu mbaya.