Napata sana kiu ya maji wakati wa usiku

Duh!mnaoniambia sukari mnanitisha ss,maana mzazi wangu mmoja sukari ilimuondoa
Sukari hairithiwi kinacho rithiwa ni mfumo wa maisha ukifuata mfumo ambao alikua nao mgonjwa wa sukari hasa ulaji na unywaji huenda ikakufika hayo. Jitadhimini juu ya lifestyle na chukua hatua
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Unaweza kuwa na kisukari, nenda kacheki afya mkuu.
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Utakuwa na kisukari
 
Updates:nimepima sukari ipo vzuri tu wala haina tatizo.

Hongera sana mkuu labda hali ya joto na wewe ushauzoesha mwili maji.


Kama ungekuwa na sukari kitendo cha kupima tu Dr angepata sign tu hata kama ingeshuka isingeshuka hadi normal.
 
Umejizoesha hivyo,labda bila kujua,if that is the case its good,kama haina usumbufu endelea tu,mimi huwa nagonga mvinyo glass kadhaa almost daily,na nimejizoesha kunywa maji usiku,kuna wakati naamka usiku na wala sina kiu,ila nijilazimisha tu kupiga angalau glass moja ya maji au juice au kipande cha tikiti maji,basi mambo yanaenda swaafi,usiogope mkuu,hata kama ni sukari bado maji ni bora sana.
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Go for diabates
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Sasa hiyo note: ulikua una maanisha nini, kama hutoki jasho si ndiyo sababu pia ya kuwa na mkojo mwingi au uliwazaje, ukiwa sehemu za baridi unakojoa sana ukiwa sehemu za joto hukojoi sana
 
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo miaka ya nyuma na ata km ilikuwepo sio kwa kiwango cha hivi karibun. Ndani ya mwaka huu naona imezidi.
Mara nyingi hii hali inanitokea,naweza sema mara 4/5 kwa wiki.

Note:wala sitok jasho usiku kusema napoteza maji mwilini,hapana.Na pia ni mnywaji mzuri wa maji wakati wa mchana.

Mwenye kujua tafadhal kama ni tatizo na jinsi ya kulikabili.
Ukiacha dalali za kisukari

Pia kuna hizi hapa huchangia sana kukojoa mara kwa mara :

Baadhi ya vinywaji hivi ni kama vile utumiaji wa ‘kafeni’ ambayo inapatikana kwenye kahawa, chai, na baadhi ya vinywaji vilivyosindikwa kiwandani. Hata hivyo kukojoa mara kwa mara kulikopitiliza kunaweza kusababishwa na matatizo fulani ya kiafya kama vile uwepo wa aina fulani ya mawe mawe kwenye kibofu (bladder stones).

Uwepo huu wa mawe kwenye kibofu unatokea wakati ambapo mkusanyiko wa mkojo ni mkubwa zaidi ndani ya kibofu au kama mtu ana upungufu wa maji mwilini (dehydrated) na hii inasababisha madini kama ya ‘calcium’ na madini ya chumvi yanajikusanya na kutengeneza haya mawe. Kisukari, matatizo ya homoni mwilini, maambukizi ya kwenye njia ya mkojo pia ni baadhi ya sababu zinazochangia kukojoa mara kwa mara kulikopitiliza.

Uzito uliopitiliza pia ni sababu zinazochangia matatizo ya kukojoa kupitiliza. Uzito ukizidi unaweza kusababisha mkandamizo kwenye kibofu, hivyo kudhoofisha mirija iliyopo ndani ya kibofu na hatimaye mkojo kutoka bila kujizuia
 
Naunga mkono hoja ....with experience ya moja ya ndugu wangu wa karibu mno.....
asibweteke t kwamba ndo haipo .....awe anapima walau kila baada ya muda flan hasa pindi akiona hiyo hali imechanganya...
Kabisa, afanye hivo ,mimi nna ndugu kazaa wana kadhia hio.
Hiyo ilikua ni moja ya dalili pamoja na mifupa kuuma sometimes na mengineo.
 
Back
Top Bottom