Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ninavyozungumza hivi sasa kuna binti tayari ana ujauzito wangu mpaka anakuja kujifungua nitakuwa nina miaka 35 na huyo ndio atakuwa first born wangu na mpaka sasa sijui kama nimewahi au nimechelewa.
Kiukweli ramani zangu za kuhusu maisha bado hazisomi hapa najiwazia mtoto akishazaliwa majukumu mpya.
Hivoo kama una neno la kunishauli uniambie.
Kiukweli ramani zangu za kuhusu maisha bado hazisomi hapa najiwazia mtoto akishazaliwa majukumu mpya.
Hivoo kama una neno la kunishauli uniambie.