- Thread starter
- #21
Asante mkuu nlishawah kupima h pyrol mwaka juzi Nilikutwa nao nikapewa dawa lakin mwaka jana mwezi Wa 12 nilipima tena nikakuta negativeKapime h.pyrol maans hizo ni dalili za vidonda vya tumbo
Asante mkuu nlishawah kupima h pyrol mwaka juzi Nilikutwa nao nikapewa dawa lakin mwaka jana mwezi Wa 12 nilipima tena nikakuta negativeKapime h.pyrol maans hizo ni dalili za vidonda vya tumbo
Nakuomba ifyatilie kwa wiki nzima ouma ukuqa na njaa halafu Pima ukiwa umekula kisha maana hizi ni dalili za AnginaMara zote hua inacheza kwenye 112/67, 2 117/71
Mkuu hivi mtu mwenye cardiomyopathy.. anasaidikaje hospitali? Yaani dawa gani inaweza tibu au huduma gani inasaidia?Nenda hospitali ulafanye vipimo viwili vya moyo
1.Echo
2.Ecg
Kuna shida kwenye moyo na hasa inaonekana moyo haupati oxygen ya kutosha, mara nyingi hii hutokana na moyo kutanuka cardiomypath.
Na ukichunguza sana hali hiyo huambatana na kupiga miayo mara nyingi mfululizo na pia kupata shida ya kukaa muda mrefu hasa kwenye safari ndefu.
Nenda kafanye hivi vipimo ndio vina majibu kamili ya tatizo lako.
Ila unatatizo kwenye moyo hii nina hakika nayo kwa 99%
Mimi sio mtaalamu sana wa tiba ya moyo.Mkuu hivi mtu mwenye cardiomyopathy.. anasaidikaje hospitali? Yaani dawa gani inaweza tibu au huduma gani inasaidia?
umeshapata heart attack nenda kwa dr wakakuchunguze usije ukajifiaWakuu Habari za mida.
Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.
Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.
Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..
Asante sana
Wakuu Habari za mida.
Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.
Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.
Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..
Asante sana
Sasa hiv unaendeleaje? Maana mm inanitesa kwa kwelidaah pole mkuu dalili ulizoelezea kama zangu tofauti kidogo tu.
Nilikutwa na acid nyingi tumboni najaribu kutumia dawa za antacid lakini wapi
GERD inajaza mpaka tumbo?Hiyo mbona GERD kabisa na bado hujapumua kwa tabu na kitambi kujaa soon tu
Acid upo ya kutosha kwa tumbo .
Subiri ikufike .GERD inajaza mpaka tumbo?
Ninayo bro nilipimwa nikakutwa nayo naomba basi namba zako kama unaweza kunishauri au tibaSubiri ikufike .
Ina dalili kama moyo vile maana sasa mpaka inanifanya nishindwe hata kutembeaSubiri ikufike .
Sikupata tiba za haraka kwa hospital nikapata za asili kwa bei ya juuNinayo bro nilipimwa nikakutwa nayo naomba basi namba zako kama unaweza kunishauri au tiba
Karbu dm huko mapema mana maisha ya bando sio marefuSikupata tiba za haraka kwa hospital nikapata za asili kwa bei ya juu
kidogo ila zilisaidia sana, japo ratiba yake n ngumu sana.
And mostly ni hizo ni ulcers za utumbo mdogo au mpana.