Gmox
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 318
- 475
Salaam wana Jf
Naomba msaada jamani!
Nina umri wa 26, shida niliyo nayo napata maumivu makali sana nisipo fanya mapenz kwa muda mrefu.
Maumivu yanakuwa katika mirija inayotoa mbegu kutoka kwenye korodani ,kisha yanapanda na kunakua na viuvimbe flani wakati huo, hii ilinianza kabla ya kuoa na baada ya kuoa nikawa fresh, shida sasa nimeachana na mke wangu na maumivu yamerudi zaidi ya awali, nini tatizo?
Naomba msaada jamani!
Nina umri wa 26, shida niliyo nayo napata maumivu makali sana nisipo fanya mapenz kwa muda mrefu.
Maumivu yanakuwa katika mirija inayotoa mbegu kutoka kwenye korodani ,kisha yanapanda na kunakua na viuvimbe flani wakati huo, hii ilinianza kabla ya kuoa na baada ya kuoa nikawa fresh, shida sasa nimeachana na mke wangu na maumivu yamerudi zaidi ya awali, nini tatizo?