YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Habari Wakuu! Msaada Wenu Tafadhali...
Ni Muda Wa Mwaka Mmoja Sasa Haya Maumivu Nayasikia, Ni Kama Yanauma Kuanzia Upande Wa Mbele Wa Eneo La Moyo, Baadae Yanapanda Taratibu Hadi Kwenye Shingo...
.
Sio Maumivu In Such Ila Yanakua Kama Yanabugudhi Flanii Hivii Mood Yangu... Sasa Nimeweza Kuyavumilia Kwa Mudaa Lakini Naona Si Sahihi Ina Nitafute Cure...
.
Mazoezi Nafanya Vizuri Tuu Na Mimi Ni Mtu Wa Mazoezi
Msaada Kwenu Naomba Kufahamu Wapi Nianzie
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni Muda Wa Mwaka Mmoja Sasa Haya Maumivu Nayasikia, Ni Kama Yanauma Kuanzia Upande Wa Mbele Wa Eneo La Moyo, Baadae Yanapanda Taratibu Hadi Kwenye Shingo...
.
Sio Maumivu In Such Ila Yanakua Kama Yanabugudhi Flanii Hivii Mood Yangu... Sasa Nimeweza Kuyavumilia Kwa Mudaa Lakini Naona Si Sahihi Ina Nitafute Cure...
.
Mazoezi Nafanya Vizuri Tuu Na Mimi Ni Mtu Wa Mazoezi
Msaada Kwenu Naomba Kufahamu Wapi Nianzie
Sent from my iPhone using JamiiForums