DESDERIUS KWIZERA MATITI
New Member
- May 17, 2021
- 1
- 1
Hivi kupatwa na kizunguzungu wakati wa kuamka kutoka ulipokuwa umekaaa hii inasababishwa na nini? Na kiafya shida ni nini na nini madhara yake.
Na haemoglobin ikiwa juu ni zipi shida zake ?Pima damu haemoglobin level ikiwa chini unapata matatizo haya.
Kachek Hb level na pressure mara nyingi ni visababish vikubwa kwa kizunguzunguHivi kupatwa na kizunguzungu wakati wa kuamka kutoka ulipokuwa umekaaa hii inasababishwa na nini? Na kiafya shida ni nini na nini madhara yake