Napata huzuni sana kuona wana Libya wakiteseka na kutokujua hatima yao,pia liwe funzo kwa wengine

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Nakumbuka 2011 nchi za magharibi kupitia umoja wao wa NATO,kupitia propaganda zilizoenezwa dunia nzima kuhusu utawala wa Libya( Gaddafi) haufai na ni lazima un'goke,wakiahidi kuifanya nchi hiyo kuwa bora zaidi ,kuliko alichofanya Gaddafi.walifanikiwa kuangusha utawala huo.

Hata hivyo lengo halikua kuwasaidia walibya bali NATO ilikua na lengo moja tu ,utajiri wa nchi hiyo na si lingine.(uporaji)

Libya imeachwa ,imetelekezwa ,maisha ni magumu haijapata tokea pamoja na utajiri wa mafuta na alimas,dhahabu ilioachwa na GDF.
Wajanja wachache walibya walioshirikiana na NATO kuangusha utawala ndio wanufaika ,hawaishi libya,familia zao ziko Amerika,Uingereza,niseme ziko ulaya kwa ujumla ndiko walikowekeza

Kinachoendelea libya ni uporaji na mauaji ya siraha zilizotawanywa na NATO.

Hata hapa nchini tunao walafi wachache wanaojificha kwenye kichaka cha uhuru usio na mipaka,lengo ni lilelile kama yaliotokea libya .

Wawindaji hao ,wakimaliza hujuma huhakikisha lawama zinabaki kwenu wenyewe kwa wenyewe, na wao kujifanya wanawapatanisha(divide and rule).

Mbaya zaidi mataifa dhurumati, tawala zinazowanufaisha huzilinda kwa gharama yoyote,mfano Saud Arabia kuhusu Jamal Kashogi, Irak Saddam Hussen ,pia Walichokifanya misri kuhusu Moris ,na sasa angalia fauro wanayotaka icheza Venezuela na Iran
Haohao ndio mabingwa wa kujifanya wanahimiza haki za binadamu na utawala bora.
Acha walibya walipie dhambi ya damu ya Gaddafi , wateseke hivyohivyo mpaka Messiah Issa bin Mariam atakarudi,

"Mwanadamu haridhiki mpaka atakapofikwa na kifo"






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wa Gaddafi nikujifanya Rais wa kudumu mpaka wananchi wakamchoka.. Kujifanya Mungu mtu basi subiria maumivu. Kama angekuwa ni kiongozi thabiti angefanya kama kina Nyerere na Mandela. Kupisha wengine ambao sio related kwako ambao amewaandaa. Badala yake alijikita kumuandaa mwanae. Wananchi hawatakagi ujinga..

Angesoma kitabu kinaitwa Homo Sapiens: A brief history of humankind ambacho kwa bahati mbaya sana kilitoka 2014 angeona jinsi gani binadamu huchoka kutawaliwa na mtu yule yule wakati wote.. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa sababu ya kinai hii ya binadamu. Gaddafi angekuwa mwanafilosofia hizi facts angezijua na angejenga nchi imara kwa kuruhusu Civilians wengine washike hatamu katika utaratibu bora. Binadamu hutulia haizidi miaka 10 kabla hawajaliamsha tena. Hii haijalishi unajenga nchi au unabomoa.. Watatumia kila mbinu upishe. Ndio dhana ya demokrasia kuweka mipaka na expiry date. Kila mtu ndani ya nchi anaamini ana haki ya kuongoza watu wakimpenda. Dhana hii ipo mioyoni mwa binadamu "naturally"

Hata huko China tunakopenda kutolea mifano, serikali inaleta maendeleo lakini kwa kuua watu wengi sana ili ibaki madarakani na kutumia mbinu nyingi kukandamiza watu. Wanajua wamechokwa.. Wataumia.. Ipo siku!
 
Ujinga wa Gaddafi nikujifanya Rais wa kudumu mpaka wananchi wakamchoka.. Kujifanya Mungu mtu basi subiria maumivu. Kama angekuwa ni kiongozi thabiti angefanya kama kina Nyerere na Mandela. Kupisha wengine ambao sio related kwako ambao amewaandaa. Badala yake alijikita kumuandaa mwanae. Wananchi hawatakagi ujinga..

Angesoma kitabu kinaitwa Homo Sapiens: A brief history of humankind ambacho kwa bahati mbaya sana kilitoka 2014 angeona jinsi gani binadamu huchoka kutawaliwa na mtu yule yule wakati wote.. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa sababu ya kinai hii ya binadamu. Gaddafi angekuwa mwanafilosofia hizi facts angezijua na angejenga nchi imara kwa kuruhusu Civilians wengine washike hatamu katika utaribu bora. Binadamu hutilia haizidi miaka 10 kabla hawajaliamsha tena. Ndio dhana ya demokrasia kuweka mipaka na expiry date.

Hata huko China tunakopenda kutolea mifano, serikali inaleta maendeleo lakini kwa kuua watu wengi sana ili ibaki madarakani na kutumia mbinu nyingi kukandamiza watu. Wanajua wamechokwa
Swali langu je Libya ni bora kwa sasa?,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saudia ufalme unaendelea hawajachoka ?,au mpaka wamarekani wachoke?
Ujinga wa Gaddafi nikujifanya Rais wa kudumu mpaka wananchi wakamchoka.. Kujifanya Mungu mtu basi subiria maumivu. Kama angekuwa ni kiongozi thabiti angefanya kama kina Nyerere na Mandela. Kupisha wengine ambao sio related kwako ambao amewaandaa. Badala yake alijikita kumuandaa mwanae. Wananchi hawatakagi ujinga..

Angesoma kitabu kinaitwa Homo Sapiens: A brief history of humankind ambacho kwa bahati mbaya sana kilitoka 2014 angeona jinsi gani binadamu huchoka kutawaliwa na mtu yule yule wakati wote.. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa sababu ya kinai hii ya binadamu. Gaddafi angekuwa mwanafilosofia hizi facts angezijua na angejenga nchi imara kwa kuruhusu Civilians wengine washike hatamu katika utaratibu bora. Binadamu hutulia haizidi miaka 10 kabla hawajaliamsha tena. Hii haijalishi unajenga nchi au unabomoa.. Watatumia kila mbinu upishe. Ndio dhana ya demokrasia kuweka mipaka na expiry date. Kila mtu ndani ya nchi anaamini ana haki ya kuongoza watu wakimpenda. Dhana hii ipo mioyoni mwa binadamu "naturally"

Hata huko China tunakopenda kutolea mifano, serikali inaleta maendeleo lakini kwa kuua watu wengi sana ili ibaki madarakani na kutumia mbinu nyingi kukandamiza watu. Wanajua wamechokwa.. Wataumia.. Ipo siku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio bora kwa sababu Ghaddafi aliweka uongozi mbaya na hakutayarisha watu kumrithi akiamini yeye pekee anafaa. Viongozi madikteta huleta majanga makubwa ya kudumu
NATO wakati wanaingia lengo lilikua ni kuifanya Libya kua bora zaidi ,je?wameshindwa,na kama wameshindwa na ndio wenye resources zote ,na ataweza?je wameitelekeza?
Gharama ilotumika na NATO kuangusha utawala wa libya inarudije kwao? Wakati wanajiandaa kuangusha utawala hawakuandaa mtu wa kumuweka ambae angeleta umoja wa kitaifa?,hapa inabaki palepale,lengo lilikua ni unya'nganyi tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali langu je Libya ni bora kwa sasa?,

Sent using Jamii Forums mobile app

Usikwepe maelezo yaliyofuta propaganda mfu yako ya post namba. Tatizo la Libya Ni Gaddafi kung'ang'ania madaraka. Iwapo angetoka nchi ile ingebaki na amani mpaka leo. Mchezo huo huo pia unachezwa na ccm hapa kuiba kura na kuchezea box la kura ili watangazwe washindi. Safari hii Lissu atakuja, tunahitaji uchaguzi huru na wa haki, wizi wa kura ni bora tukose wote.
 
Usikwepe maelezo yaliyofuta propaganda mfu yako ya post namba. Tatizo la Libya Ni Gaddafi kung'ang'ania madaraka. Iwapo angetoka nchi ile ingebaki na amani mpaka leo. Mchezo huo huo pia unachezwa na ccm hapa kuiba kura na kuchezea box la kura ili watangazwe washindi. Safari hii Lissu atakuja, tunahitaji uchaguzi huru na wa haki, wizi wa kura ni bora tukose wote.
Swali langu gadaffi kafa kwanini libya iko vile?,usilolijua ni sawa na usiku wa giza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wa Gaddafi nikujifanya Rais wa kudumu mpaka wananchi wakamchoka.. Kujifanya Mungu mtu basi subiria maumivu. Kama angekuwa ni kiongozi thabiti angefanya kama kina Nyerere na Mandela. Kupisha wengine ambao sio related kwako ambao amewaandaa. Badala yake alijikita kumuandaa mwanae. Wananchi hawatakagi ujinga..

Angesoma kitabu kinaitwa Homo Sapiens: A brief history of humankind ambacho kwa bahati mbaya sana kilitoka 2014 angeona jinsi gani binadamu huchoka kutawaliwa na mtu yule yule wakati wote.. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa sababu ya kinai hii ya binadamu. Gaddafi angekuwa mwanafilosofia hizi facts angezijua na angejenga nchi imara kwa kuruhusu Civilians wengine washike hatamu katika utaratibu bora. Binadamu hutulia haizidi miaka 10 kabla hawajaliamsha tena. Hii haijalishi unajenga nchi au unabomoa.. Watatumia kila mbinu upishe. Ndio dhana ya demokrasia kuweka mipaka na expiry date. Kila mtu ndani ya nchi anaamini ana haki ya kuongoza watu wakimpenda. Dhana hii ipo mioyoni mwa binadamu "naturally"

Hata huko China tunakopenda kutolea mifano, serikali inaleta maendeleo lakini kwa kuua watu wengi sana ili ibaki madarakani na kutumia mbinu nyingi kukandamiza watu. Wanajua wamechokwa.. Wataumia.. Ipo siku!
Nchi iharibiwe na nato lawama apewe gaddaffi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gaddafi hakuwa Mmiliki wa Libya na wala hakua na akili kuzidi Walibya wote.. Tatizo CCM Viongozi mnawaita Watawala..

Mawazo ya kimaskini haya Mliyozoeshwa na CCM..
Sisi Tanzania hatuna Vita Marais Wote Wanachaguliwa, Je Tunamaendeleo?
Libya Wakiona Maisha ya Watanzania wao ndiyo wanatuonea huruma..
Na Hakuna Raia wa Libya anaweza kukimbilia Tz Kuomba Uraia, Tafakari..
 
Nakumbuka 2011 nchi za magharibi kupitia umoja wao wa NATO,kupitia propaganda zilizoenezwa dunia nzima kuhusu utawala wa Libya( Gaddafi) haufai na ni lazima un'goke,wakiahidi kuifanya nchi hiyo kuwa bora zaidi ,kuliko alichofanya Gaddafi.walifanikiwa kuangusha utawala huo.

Hata hivyo lengo halikua kuwasaidia walibya bali NATO ilikua na lengo moja tu ,utajiri wa nchi hiyo na si lingine.(uporaji)

Libya imeachwa ,imetelekezwa ,maisha ni magumu haijapata tokea pamoja na utajiri wa mafuta na alimas,dhahabu ilioachwa na GDF.
Wajanja wachache walibya walioshirikiana na NATO kuangusha utawala ndio wanufaika ,hawaishi libya,familia zao ziko Amerika,Uingereza,niseme ziko ulaya kwa ujumla ndiko walikowekeza

Kinachoendelea libya ni uporaji na mauaji ya siraha zilizotawanywa na NATO.

Hata hapa nchini tunao walafi wachache wanaojificha kwenye kichaka cha uhuru usio na mipaka,lengo ni lilelile kama yaliotokea libya .

Wawindaji hao ,wakimaliza hujuma huhakikisha lawama zinabaki kwenu wenyewe kwa wenyewe, na wao kujifanya wanawapatanisha(divide and rule).

Mbaya zaidi mataifa dhurumati, tawala zinazowanufaisha huzilinda kwa gharama yoyote,mfano Saud Arabia kuhusu Jamal Kashogi, Irak Saddam Hussen ,pia Walichokifanya misri kuhusu Moris ,na sasa angalia fauro wanayotaka icheza Venezuela na Iran
Haohao ndio mabingwa wa kujifanya wanahimiza haki za binadamu na utawala bora.
Acha walibya walipie dhambi ya damu ya Gaddafi , wateseke hivyohivyo mpaka Messiah Issa bin Mariam atakarudi,

"Mwanadamu haridhiki mpaka atakapofikwa na kifo"






Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata hapa tanzoo tunao model hiyo tajwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wa Gaddafi nikujifanya Rais wa kudumu mpaka wananchi wakamchoka.. Kujifanya Mungu mtu basi subiria maumivu. Kama angekuwa ni kiongozi thabiti angefanya kama kina Nyerere na Mandela. Kupisha wengine ambao sio related kwako ambao amewaandaa. Badala yake alijikita kumuandaa mwanae. Wananchi hawatakagi ujinga..

Angesoma kitabu kinaitwa Homo Sapiens: A brief history of humankind ambacho kwa bahati mbaya sana kilitoka 2014 angeona jinsi gani binadamu huchoka kutawaliwa na mtu yule yule wakati wote.. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa sababu ya kinai hii ya binadamu. Gaddafi angekuwa mwanafilosofia hizi facts angezijua na angejenga nchi imara kwa kuruhusu Civilians wengine washike hatamu katika utaratibu bora. Binadamu hutulia haizidi miaka 10 kabla hawajaliamsha tena. Hii haijalishi unajenga nchi au unabomoa.. Watatumia kila mbinu upishe. Ndio dhana ya demokrasia kuweka mipaka na expiry date. Kila mtu ndani ya nchi anaamini ana haki ya kuongoza watu wakimpenda. Dhana hii ipo mioyoni mwa binadamu "naturally"

Hata huko China tunakopenda kutolea mifano, serikali inaleta maendeleo lakini kwa kuua watu wengi sana ili ibaki madarakani na kutumia mbinu nyingi kukandamiza watu. Wanajua wamechokwa.. Wataumia.. Ipo siku!
gaddaf hakuchokwa sema ni wazungu tu walipandikiza chuki

Queen elizabeth umempa hiko kitabu akakisoma?? mbona na yy ni mtawala wa kudumu na waingereza wako happy tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi iharibiwe na nato lawama apewe gaddaffi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Vuguvugu la kuondolewa Ghaddafi limeanzia ndani ya nchi. Ghaddafi aitumia mkono wa chuma kuua na kukandamiza watu wengine huku akiwa kajitajirisha yeye zaidi.

Ukimpiga mkeo akapiga sana mayowe na majirani wakija kusaidia kukutandika usiwalalamikie majirani. Wewe ndio sababu.
Nyerere kwenye kitabu chake hatma ya Tanzania na uongozi wake alisema nilingóka ili nitunze heshima yangu. Sitaki waje kunitoa kwa nguvu
 
Gaddafi hakuwa Mmiliki wa Libya na wala hakua na akili kuzidi Walibya wote.. Tatizo CCM Viongozi mnawaita Watawala..

Mawazo ya kimaskini haya Mliyozoeshwa na CCM..
Sisi Tanzania hatuna Vita Marais Wote Wanachaguliwa, Je Tunamaendeleo?
Libya Wakiona Maisha ya Watanzania wao ndiyo wanatuonea huruma..
Na Hakuna Raia wa Libya anaweza kukimblia Tz Kuomba Uraia, Tafakari..
Je baada ya mtu aliejifanya ana akili wakati hana kuondoka ,status ya libya ikoje kwa sasa?.kwa vile sasa iko na wenye akili kubwa!,,,tafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
gaddaf hakuchokwa sema ni wazungu tu walipandikiza chuki

Queen elizabeth umempa hiko kitabu akakisoma?? mbona na yy ni mtawala wa kudumu na waingereza wako happy tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kasome tena katiba na historia ya Uingereza.. Queen alishavuliwa madaraka kwa vita kibao zilizodumu. Alipoyavua madaraka muhimu na kupeleka kwa kiongozi wa kuchaguliwa basi ndo nchi imetulia. Queen kwa sasa hana governmental powers hata tone moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom