AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
wameshatoka disco tayari sasahivi wanapata lunch,ngoja wamalize lunch uone matusi!
Mkuu usiwe kama wale luddites kwenye industrial revolution ambao walipigana vita vya kuharibu machines pasipo kujua their real enemy, Adui wa wetu sio kanisa na laiti ungejua kuwa maneno yenu haya 1 dei yataligharimu taifa kama Nigeria wala usingetoa kashfa zako wa imani ya wenzako.