kifutu malikidwete
Member
- Nov 8, 2017
- 22
- 12
Jaman mwenzenu kuna jambo linaniumiza sana ninamiaka 24 lakini naonekana kama na miaka 37 kwenda juu nfanyaje maana sina raha watoto wanankataa shikamoo nying duuu nb.nlikuwa chaputa mzuri tu sjui ni sababu msaada nfanyeje nionekane as my age