Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,289
Kuna baadhi ya watu kwa bahati mbaya wamekosa majina ya kilugha, mathan mtu anaitwa Mariam Ally Juma au Humphrey John Nicolaus.
Da hata ukimuuliza jina lako la ukoo ni nani nalo pia hana, anakuambia tunamajina ya kidini tu.
Jina langu Malankangale Tunkongege.
Im proud of it.
Nawatakia siku njema wale wote wanao yaonea fahari majina yao ya asili.
mungu awabariki sana
Da hata ukimuuliza jina lako la ukoo ni nani nalo pia hana, anakuambia tunamajina ya kidini tu.
Jina langu Malankangale Tunkongege.
Im proud of it.
Nawatakia siku njema wale wote wanao yaonea fahari majina yao ya asili.
mungu awabariki sana