evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,998
- 5,130
Wasaalam wakuu,
Niingie kwa mada moja kwa moja.Ligi yetu baada ya kuisha na kutokuwa na mdhamini mkuu na hata kupelekea mshindi kutokujulikana anapewa nini, labda ni kutokana na TFF kutokufikia muafaka na hao wadhamini.
Kwa msimu ujao hata kusipokuwa na mdadhamini mkuu, naona kwa mbali wadhamini wengine kwa ngazi ya vilabu kujitokeza kwa wingi, na hii ni kutokana kuona kuwa Mpira unalipa,mpira ni pesa na mpira ni biashara kwa sasa. Jicho langu kwa udhamini ni kama ifuatavyo;
1) Klabu ya Simba, wekundu wa msimbazi pamoja na kuwa na udhamini mnono wa SportPesa na Mo Energy bado naona moja ya bank kubwa ikipiga charter yake kwenye Uzi wa simba msimu ujao.
2). Club ya Young African, wana jangwani hawa ukiacha SportPesa na maji ya Afya ambayo hayapo kwa Uzi,lakini naona young African wakienda kupata mdhamini mwingine atakaewapiga tough kuelekea msimu mpya wa ligi.
3). Azam fc, hawa matajiri wa jiji wamechafuka na juice ya African Fruits pamoja na maji Uhai mgongoni, Azam fc wadhamini wenza wameshapata wengine, baada ya kuachana na NMB msimu ulioisha, nao ni GF truck ambapo tayr washaweka chata yao kwa kifua cha azam(rejea Uzi waliovaa Fainali ya FA).
4). Lipuli fc, wanapaluengo hao ambao wametinga fainali ya FA nao nawaona wakipiga Uzi wenye chata ya maziwa ya Faraj ASAS wa hukoko Iringa. Lipuli msimu uliopita walikuwa plain lakini now, tumeona jezi zikiwa na nembo ya ASAS (rejea fainali FA).
5). KMC. hawa wabishi wa kino, wamekuwa mwiba kwa ligi kuu hususan kwa vibonde na kila wanaekutana nao, kwenye nusu final ya FA niliwaona wakiwa na nembo lakini sikujua ni akina nani walokuwa wapo upande wao. Ila nna imani mafanikio yao uwanjan yanaonekena.
6). Mtibwa Sugar, hawa nadhani pia wanauwezo wa kujidhamini wenyew kama ilivyo kwa azam, so hata wakitia nembo ya mtibwa sugar kwenye kifua chao bado wapo vizur pamoja na matatizo madodgo yaliyomo.
7). Mbeya City. Hawa ndugu zetu kule kusini najua hawawezi kosa mdhamini tena naona wakipata mdhamini mkubwa ambaye ni mmoja ya kampuni kubwa ya simu za mikononi, na kupiga ktk kifua chao.
8). Tz Prison, hawa wajelajela original kutoka Mbeya. Hawa wa majeshi nadra sana kuwa na wadhamini lakini ingekuwa sawa, kutia nembo ya Tz Prison kwenye Uzi wao km ilivyo
kwa Jkt Tanzania, walivoweka nembo yao kifuani.
9). Alliance fc. Hawa wanafunzi wa kule Mwanza, wamesumbua vilivyo ligi pamoja na uchanga wao kwenye ligi, ukiacha Alliance school kwenye Uzi wao nadhan pia GF truck pamoja na mbao fc wana udhamini huo.
10). Singida Utd, hawa kampuni moja ya vinywaji isipowatia udhaminni msimu ujao basi wataanza mchakato, lakini pia kwao nyumbn Kuna mafuta ya alizeti nadhani kampuni waangalie hapo, pakutangazia biashara.
11). Biashara Utd, sasa unaingia Tarime, hawa ndugu zetu, ni muda sasa migodi ya pale(nyamongo na mingnie) nyumbani iangalie kwa jicho la tofauti kuipatia udhamini timu na kujitangaza pia wabunge wa pale najua ni wapenda michezo wataliangalia hilo.
12). Ruvu Shooting, hawa walikuwa na cow bel msimu unaoisha lakini pia wakitafuta najua watapata kuitangaza mlandizi na pwani kwa ujumla, wakiongozwa na Mwl Bwire.
13). Coastal Union, wagosi wa kaya wa mkwakwan kule tanga, kama sijakosea hawa ndo wanaongoza kwa kuchafuka wadhamini kwenye Uzi wao, ambapo kuna bin sulum,tsn,mo faya na wengine. Nadhani pia wakiongeza sio mbaya.
14). Ndanda fc, wanakuchere, pamoja na kuwa wanao ndanda spring lakini ni wakati wa mtwara na wengineo kuweka udhaminni wao, kusimam pamoja na club hii, sio tu wakiwa kwenye mafanikio ndo wawaangalie.
15). Namungo fc. Hawa najua wapo vizuri kwa juhudi za Waziri mkuu watapata udhamini mnono kuelekea msimu ujao, Naona washaanza kutunishiana misuli na timu za ligi kuu.
Pia changamoto kwa TFF msimu ujao, kuwapatia timu udhamini angalau kujikwamua na adha ndogondogo.
Nawasilisha...
Niingie kwa mada moja kwa moja.Ligi yetu baada ya kuisha na kutokuwa na mdhamini mkuu na hata kupelekea mshindi kutokujulikana anapewa nini, labda ni kutokana na TFF kutokufikia muafaka na hao wadhamini.
Kwa msimu ujao hata kusipokuwa na mdadhamini mkuu, naona kwa mbali wadhamini wengine kwa ngazi ya vilabu kujitokeza kwa wingi, na hii ni kutokana kuona kuwa Mpira unalipa,mpira ni pesa na mpira ni biashara kwa sasa. Jicho langu kwa udhamini ni kama ifuatavyo;
1) Klabu ya Simba, wekundu wa msimbazi pamoja na kuwa na udhamini mnono wa SportPesa na Mo Energy bado naona moja ya bank kubwa ikipiga charter yake kwenye Uzi wa simba msimu ujao.
2). Club ya Young African, wana jangwani hawa ukiacha SportPesa na maji ya Afya ambayo hayapo kwa Uzi,lakini naona young African wakienda kupata mdhamini mwingine atakaewapiga tough kuelekea msimu mpya wa ligi.
3). Azam fc, hawa matajiri wa jiji wamechafuka na juice ya African Fruits pamoja na maji Uhai mgongoni, Azam fc wadhamini wenza wameshapata wengine, baada ya kuachana na NMB msimu ulioisha, nao ni GF truck ambapo tayr washaweka chata yao kwa kifua cha azam(rejea Uzi waliovaa Fainali ya FA).
4). Lipuli fc, wanapaluengo hao ambao wametinga fainali ya FA nao nawaona wakipiga Uzi wenye chata ya maziwa ya Faraj ASAS wa hukoko Iringa. Lipuli msimu uliopita walikuwa plain lakini now, tumeona jezi zikiwa na nembo ya ASAS (rejea fainali FA).
5). KMC. hawa wabishi wa kino, wamekuwa mwiba kwa ligi kuu hususan kwa vibonde na kila wanaekutana nao, kwenye nusu final ya FA niliwaona wakiwa na nembo lakini sikujua ni akina nani walokuwa wapo upande wao. Ila nna imani mafanikio yao uwanjan yanaonekena.
6). Mtibwa Sugar, hawa nadhani pia wanauwezo wa kujidhamini wenyew kama ilivyo kwa azam, so hata wakitia nembo ya mtibwa sugar kwenye kifua chao bado wapo vizur pamoja na matatizo madodgo yaliyomo.
7). Mbeya City. Hawa ndugu zetu kule kusini najua hawawezi kosa mdhamini tena naona wakipata mdhamini mkubwa ambaye ni mmoja ya kampuni kubwa ya simu za mikononi, na kupiga ktk kifua chao.
8). Tz Prison, hawa wajelajela original kutoka Mbeya. Hawa wa majeshi nadra sana kuwa na wadhamini lakini ingekuwa sawa, kutia nembo ya Tz Prison kwenye Uzi wao km ilivyo
kwa Jkt Tanzania, walivoweka nembo yao kifuani.
9). Alliance fc. Hawa wanafunzi wa kule Mwanza, wamesumbua vilivyo ligi pamoja na uchanga wao kwenye ligi, ukiacha Alliance school kwenye Uzi wao nadhan pia GF truck pamoja na mbao fc wana udhamini huo.
10). Singida Utd, hawa kampuni moja ya vinywaji isipowatia udhaminni msimu ujao basi wataanza mchakato, lakini pia kwao nyumbn Kuna mafuta ya alizeti nadhani kampuni waangalie hapo, pakutangazia biashara.
11). Biashara Utd, sasa unaingia Tarime, hawa ndugu zetu, ni muda sasa migodi ya pale(nyamongo na mingnie) nyumbani iangalie kwa jicho la tofauti kuipatia udhamini timu na kujitangaza pia wabunge wa pale najua ni wapenda michezo wataliangalia hilo.
12). Ruvu Shooting, hawa walikuwa na cow bel msimu unaoisha lakini pia wakitafuta najua watapata kuitangaza mlandizi na pwani kwa ujumla, wakiongozwa na Mwl Bwire.
13). Coastal Union, wagosi wa kaya wa mkwakwan kule tanga, kama sijakosea hawa ndo wanaongoza kwa kuchafuka wadhamini kwenye Uzi wao, ambapo kuna bin sulum,tsn,mo faya na wengine. Nadhani pia wakiongeza sio mbaya.
14). Ndanda fc, wanakuchere, pamoja na kuwa wanao ndanda spring lakini ni wakati wa mtwara na wengineo kuweka udhaminni wao, kusimam pamoja na club hii, sio tu wakiwa kwenye mafanikio ndo wawaangalie.
15). Namungo fc. Hawa najua wapo vizuri kwa juhudi za Waziri mkuu watapata udhamini mnono kuelekea msimu ujao, Naona washaanza kutunishiana misuli na timu za ligi kuu.
Pia changamoto kwa TFF msimu ujao, kuwapatia timu udhamini angalau kujikwamua na adha ndogondogo.
Nawasilisha...