GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Leo akiingia kuchangia 'kiuchambuzi', mchambuzi Oscar Oscar alianza kwa kutoa kicheko cha 'kinafiki' kisha akahoji, je madeni yameshalipwa? Watangazaji wenzake wote studioni wakaanza kuangua kicheko ambacho kinaonesha kabisa kuwa ni 'kijembe' kwa wale waliowakimbia.
Juzi tena kuna Mtangazaji wa Michezo wa Efm Manuel Maziku nae alipoingia katika Kipindi cha Usiku cha Michezo Kiitwacho E Sports nae alipiga ' Kijembe ' cha ' Kiaina ' kwa kututaka Sisi Wasikilizaji wake tusihamishe Idhaa na kuwasikiliza ' Matapeli ' kisha ' akazuga ' na kuendelea na Kipindi.
Kama CEO's wao akina Majizzo na Diamond hawatakaa chini ili kuweza ' Kuzima ' hizi Chuki na haya Mafumbo yaliyojaa ' Vijembe ' ambavyo sasa wanaanza Kutoleana naliona tatizo Kubwa linakuja baina ya hivi Vyombo viwili vya Habari vya Efm na Wasafi fm.
Visasi Kazini sasa!
Juzi tena kuna Mtangazaji wa Michezo wa Efm Manuel Maziku nae alipoingia katika Kipindi cha Usiku cha Michezo Kiitwacho E Sports nae alipiga ' Kijembe ' cha ' Kiaina ' kwa kututaka Sisi Wasikilizaji wake tusihamishe Idhaa na kuwasikiliza ' Matapeli ' kisha ' akazuga ' na kuendelea na Kipindi.
Kama CEO's wao akina Majizzo na Diamond hawatakaa chini ili kuweza ' Kuzima ' hizi Chuki na haya Mafumbo yaliyojaa ' Vijembe ' ambavyo sasa wanaanza Kutoleana naliona tatizo Kubwa linakuja baina ya hivi Vyombo viwili vya Habari vya Efm na Wasafi fm.
Visasi Kazini sasa!