KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,706
- 4,428
Kiserikali hujazuiwa kuoaAsante
Ila ndo hivyo bhanaa
Wanaume tuna kazi sana kwenye swala la mwanamke mmoja.
Hata Mungu wetu anajuaa
Kiserikali hujazuiwa kuoaAsante
Ila ndo hivyo bhanaa
Wanaume tuna kazi sana kwenye swala la mwanamke mmoja.
Hata Mungu wetu anajuaa
Hapanaa bhanaa mapenzi si mpaka muoanee kweli...kwani sasa na enjoy kwelii loveMuoe huyo wa pili ya Kiserikali
Afu wewe unalazimisha nioee tuu...Kiserikali hujazuiwa kuoa
Kwahio unaamini kbs atakua mchepuko wako milele😅Hapanaa bhanaa mapenzi si mpaka muoanee kweli...kwani sasa na enjoy kwelii love
Ngja utakuja kuelewa badaeNa
Afu wewe unalazimisha nioee tuu...
Na huku sijalalamika kama nataka kuoaa.
Kwanza mwanamke ukimuoa huwa wana badilikaaa
Aisee sasa wee kwani mkeo akiwa anagegedwa na njemba wengine kinakuma nini jamani....ebu tuache uchoyo na wivu wakingese wanaume.Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?
Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.
Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.
Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.
Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Kwahio unaamini kbs atakua mchepuko wako milele😅 kwa huyu hakika natulia kabisa na sichepuki +
Haya baba
Unapingana na nature mzee baba.Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?
Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.
Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.
Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.
Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Uwezo wa kuhudumia unao ?We na ni great thinker?
Wanawake wote Hawa Nani atawapa huduma?
Huwaonei huruma?
Pamoja na Suleiman kuwa mzinzi kupindukia lakini Mungu aliendelea kumbariki na kuongea naye.
Walitofautiana tu pale alipooa mke asiyekuwa wa kabila ambalo Mungu hakuafiki na wakamgeuza na kuacha mambo ya Mungu.
Mimi ni Nani hata niwe na mwanamke mmoja tu?
Ni mama yangu huyo?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mkuu, huyo Dada si mjinga, anahitaji awe na ndoa na familiya yake inayotambulika.Hapana siwezi acha mkewangu...
Ila tuu ujue maisha ndo ya livyo hayana fomula maalum.Tizama dada wawatu nipo nae bila shida na anajitambua az if mke asee.Na uwezo wa kula na kuvaa anao.Hana tabia za kimalaya kama wanawake wengine kubwa zaidi hana majivuno kama niwaonavyo wengine.
Huu mchepuko huwa una nifanya niwe na fikiri sana zaidi na zaidi katika maisha.
Mzee inajulikana watu wenye haiba yenu mnaupungufu wa nguvu za kiume ndio maana kutwa kucha mnahangaika na kuwatetea wanawake.Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?
Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.
Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.
Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.
Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Watakuja kukupinga, na justification za kijinga kujaribu kuhalalishaUmalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?
Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.
Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.
Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.
Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
well said Mpwa, MUNGU akupe maisha marefu kwenye hizi ndoa zina mambo mengi sana sana.....Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?
Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.
Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.
Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.
Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Au mumewe hana hela za kurisha michepuko ndo mana katuliaUnanipa shida kuamini wewe mleta uzi unaweza kuwa jinsia Me. Unaonakana na ulimbukeni na Utamu wa Ndoa yako ya Mwaka mmoja hiyo. Utamaliza Mb zako kutaka kuleta mabadiliko kwenye mambo hayahitaji jitihada zako. We ni mwanamke, Basi kama unaweza kuwa na mchepuko na mumeo asijue kuwa naye usitusumbue.
Unapoanza kuambia wazee wetu walikua malaya malaya ni Ishara za Akili Utoko utoko tu. Tokea enzi hizo manbo ya michepuko yalikuwepo. Fuatilia Habari za Akina suleiman, Daudi, Ibrahimu, Isaka na Wengine alfu uje utuletee utumbo wako. Kama unataka mume wa Pekee yako mgeuze Baba yako awe mumeo huyo ndio nwenye hisia na wewe anaogopa kukuumiza ila mwanaume aliyelelewa na mwanamke mwingine tegemea maumivu.
Kama hujamfuma mumeo na mchepuko basi ni suala la muda wala wala usiliendee papala. Wale unaowaita romodo wako kwamba hawana michepuko jua huyo anademu lake la Siri ambalo linajua terms na Conditions. Wakati mwingine usikute yule rafiki yako kabisa Mumeo anakula. Achana na hayo mambo.
Unafiki.Kwani mkuu tunafanana au tupo sawa?
Maadili ya Kiafrika kuanzia mwanzo yanachukulia uchepukaji kwa mwanaume kama urijali.
Ukitaka mambo ya haki sawa nenda kwa Wazungu, maadili yao hayaruhusu uchepukaji kwa wote.
Unafiki.
sasa km n halali, mbna anaogopa kuwaunganisha, na anaganya, mkewe asijue.Kumbe unamuogopa mkeo
Wanaume tambo zenu hapo mwisho wa reli
Nilitaka nikuite.