Naona suala la michepuko linaonekana ni sawa kwa upande mmoja

Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Aisee sasa wee kwani mkeo akiwa anagegedwa na njemba wengine kinakuma nini jamani....ebu tuache uchoyo na wivu wakingese wanaume.

Tuwacche wake zetu nao wakaonje utamu wa madushe mengine maana wakati tunawaoa tayari tumewakuta wengi wao wakiwa walishaonja de libolo sio chini ya tano au nasema uongo mawardat ?
 
Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Unapingana na nature mzee baba.
 
We na ni great thinker?
Wanawake wote Hawa Nani atawapa huduma?
Huwaonei huruma?
Pamoja na Suleiman kuwa mzinzi kupindukia lakini Mungu aliendelea kumbariki na kuongea naye.
Walitofautiana tu pale alipooa mke asiyekuwa wa kabila ambalo Mungu hakuafiki na wakamgeuza na kuacha mambo ya Mungu.
Mimi ni Nani hata niwe na mwanamke mmoja tu?
Ni mama yangu huyo?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Uwezo wa kuhudumia unao ?
 
Hapana siwezi acha mkewangu...
Ila tuu ujue maisha ndo ya livyo hayana fomula maalum.Tizama dada wawatu nipo nae bila shida na anajitambua az if mke asee.Na uwezo wa kula na kuvaa anao.Hana tabia za kimalaya kama wanawake wengine kubwa zaidi hana majivuno kama niwaonavyo wengine.
Huu mchepuko huwa una nifanya niwe na fikiri sana zaidi na zaidi katika maisha.
Mkuu, huyo Dada si mjinga, anahitaji awe na ndoa na familiya yake inayotambulika.

Kwa kuwa amekupenda na kwakuwa na wewe unampenda sana, na kwa kuwa na yeye analijua hilo, Na kwakuwa anajua kinachosababisha yeye hasiwe mkeo ni vitu viwili (1) Mkeo (2) Ukristo, Basi katika mazingira haya bila kujua unaweza kumsababishia mkeo matatizo.

Ni hivi, anaweza kufikia mahali fulani akatumia namna nzuri ya kumuondoa mkeo ambayo haitoacha alama wala mashaka kwamba kaondolewa na mkono wa binadamu hususani yeye (mchepuko) baada ya hapo atalia na kuugua na wewe ( kinafiki) katika wakati huo mgumu utakaokuwa unaupitia,alafu baada ya hapo matokeo yanajulikana ( Kwamba utamtwaa awe mkeo baada ya kifo cha mkeo).
 
Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Mzee inajulikana watu wenye haiba yenu mnaupungufu wa nguvu za kiume ndio maana kutwa kucha mnahangaika na kuwatetea wanawake.


Wanaume wenzio sio kwamba hatujui kinacho endelea tunajua vizuri tu. Ila tunafanya hivyo ili kudaidia jamii wa kuonesha urijali wetu.


Kama hata huyo mwanamke mmoja umeshindwa kumnyandua vizuri basi huwezi nielewa....Ila wenzio tunanyandua watoto wa watu Hadi wenyewe wanaomba mapumnziko katikati ya mechi.
 
Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
Watakuja kukupinga, na justification za kijinga kujaribu kuhalalisha

Ila huo ndio ukweli!!!
 
Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
well said Mpwa, MUNGU akupe maisha marefu kwenye hizi ndoa zina mambo mengi sana sana.....
 
Unanipa shida kuamini wewe mleta uzi unaweza kuwa jinsia Me. Unaonakana na ulimbukeni na Utamu wa Ndoa yako ya Mwaka mmoja hiyo. Utamaliza Mb zako kutaka kuleta mabadiliko kwenye mambo hayahitaji jitihada zako. We ni mwanamke, Basi kama unaweza kuwa na mchepuko na mumeo asijue kuwa naye usitusumbue.

Unapoanza kuambia wazee wetu walikua malaya malaya ni Ishara za Akili Utoko utoko tu. Tokea enzi hizo manbo ya michepuko yalikuwepo. Fuatilia Habari za Akina suleiman, Daudi, Ibrahimu, Isaka na Wengine alfu uje utuletee utumbo wako. Kama unataka mume wa Pekee yako mgeuze Baba yako awe mumeo huyo ndio nwenye hisia na wewe anaogopa kukuumiza ila mwanaume aliyelelewa na mwanamke mwingine tegemea maumivu.

Kama hujamfuma mumeo na mchepuko basi ni suala la muda wala wala usiliendee papala. Wale unaowaita romodo wako kwamba hawana michepuko jua huyo anademu lake la Siri ambalo linajua terms na Conditions. Wakati mwingine usikute yule rafiki yako kabisa Mumeo anakula. Achana na hayo mambo.
Au mumewe hana hela za kurisha michepuko ndo mana katulia
 
Back
Top Bottom