Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
- Thread starter
- #41
Mkuu, mwanzo wa penzi uwa ni mtamu....changamoto inakuja pale mnapokuwa ndani ya ndoa, kero za hapa na pale, uwongo, na vitu vingine vidogovidogo ambavyo vinakera na kuumiza mtu moyo. HAKUNA mtu anayekwenda kwenye ndoa akidhamilia kuchepuka, never.
Msingi wa yote ni mazungumzo tuzungumze hivyo ndivyo ndoani naishi