grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,202
- 4,111
Unatumia biblia kutetea ujinga? Hauioni amri ya sita ya torati? USIZINI au hyo amri inaruhusiwa kwa watu wa kabila moja tu? 🤔🤔🤔We na ni great thinker?
Wanawake wote Hawa Nani atawapa huduma?
Huwaonei huruma?
Pamoja na Suleiman kuwa mzinzi kupindukia lakini Mungu aliendelea kumbariki na kuongea naye.
Walitofautiana tu pale alipooa mke asiyekuwa wa kabila ambalo Mungu hakuafiki na wakamgeuza na kuacha mambo ya Mungu.
Mimi ni Nani hata niwe na mwanamke mmoja tu?
Ni mama yangu huyo?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app