The Clinical Pharmacist
Member
- May 13, 2014
- 90
- 100
Km huridhiki si uoe rasmi??
ijulikane ni wake wenza
Kinachokera ni kuvalishwa shela na kuapishwa uaminifu na mume mbele ya umma kitu ambacho sio kweli
Uke wenza official unapunguza stress
Ila issue ni utakua fair kwa wote??
Unaweza kuwatunza wote?? Ama mnachoweza ni kujificha tu?
Changamoto ya wake zetu wa kikristo hawataki kukubaliana na ukweli. Hakuna cha kuficha hapo mkuu. Kama wangekuwa wanaliona jambo ambalo lipo kama ilivyo kwa Ndugu zetu wa islam.